Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Wakuu vp katika mas ala ya kufungua account apo udom, vp bank nzuri kufungu ni ipi na utaratibu wa kufungua ni UPI???
 
Wakuu vp katika mas ala ya kufungua account apo udom, vp bank nzuri kufungu ni ipi na utaratibu wa kufungua ni UPI???
Kama huna bank account ukifika chuo eneo la kujisajili utakuta mawakala wa bank crdb na nmb hapo sasa utachagua mwenyewe,, ila ninge recommend nmb maana crdb atm ni usumbufu sana,, mara pesa zimeisha, mara network
 
Wadau nataka kujua hiv chuo cha mipango dodoma na udom vinategemeana au kila chuo kivyake? Naomba kufahamishwa.
 
Acha kuwadanganya vijana mwaka huu pesa ya bima unalipa directly wizara ya afya na ni tsh 54 elfu tu. Xo wadogo zangu nendeni kwenye site ya chuo muone maelekezo ya jinsi ya kupata bima yako ya afya

Soma vizuri mkuu, inayobaki unalipa chuoni, hivyo ni 100,000 ile ile.
 
Kama huna bank account ukifika chuo eneo la kujisajili utakuta mawakala wa bank crdb na nmb hapo sasa utachagua mwenyewe,, ila ninge recommend nmb maana crdb atm ni usumbufu sana,, mara pesa zimeisha, mara network

Asante mkuu, na vp kuhusu bank charge ipi ni afueni kati ya crdb na nmb, na nikifungulia uko itakua ni student account au citizen account?
 
Asante mkuu, na vp kuhusu bank charge ipi ni afueni kati ya crdb na nmb, na nikifungulia uko itakua ni student account au citizen account?
Crdb wana makato zaidi,, na utakayofungua ni student account
 
library zpo mkuu labda useme kitu kingine!

Hakuna Chuo Kinaongoza Kwa Kuwa Na Library Nzur Kuliko Udom,kuna Library Nne Za Uhakiki(COED ,CIVE,CHAS,CHSS) kwa hlo ucjadil ucje ukachekwa bure,maana hat ya udsm kwa moja 2 ya udom inaingia mara 4
 
UDOM hostel zakutosha,mazingira mazuri ya kusomea,internet ni full kwa wapenda movie ni kudownload tumaseries,cafetaria zakutosha,bata linalika sana club 7,club 84,maisha club,..totoz za cbe,mipango na st.john kibao..mungu akupe nini tena?

baada ya hayo yote nadhani atakayeyazingatia atapewa kudisco tuuu
 
Back
Top Bottom