Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,286
- 488
Wekeni basi Link nasi tuone jamani
Karibuni udom jamani ur welcom guyz kwa swali llolote kuhusu udom leteni
Nilifikiri utawaambia library nzuri ina vitabu vya kutosha
Na internet ipo kwaajili ua research nakudownload vitabu na kusoma vitabu online kama google books.
Kwahali yakula bata chuo nafikiri ushauri waajabu huo.
Wait deadline ya 2nd round application tar30 ipite...Addimission letter lin jaman
Wait deadline ya 2nd round application tar30 ipite...
library zpo mkuu labda useme kitu kingine!
Tayari mkuuuuuhivi ni kwel udom washatoa majna?
Huku porojo mingi sana, wa2 wanaomba hizo link hawapewi wala nn
Bac yatumeni hayo majina makamanda wajizoom wenyewe hamna anayetuma wala kuropoka kwamba hayajatoka..!! "Wote wanajikuta wajuzi wa chuo"
Hahaaaaa co mbaya nikiwaambia piteni hivi na porojo zenu