hans lucas2
Member
- Jan 31, 2015
- 65
- 2
Mikopo ss wa special diploma in science and mathematics tunapata!!!!!!!!!!!!!!
Kwa maelezo hayo ulitakiwa na mwisho uandike kama kuna ku graduate mapema kabla ya muda sahihi
wale waliochaguliwa direct special diploma udom na ambao tayar wamezbtisha maomb ya mkopo yanaanza lin wakuu?
Wait,,,usiwe na haraka mambo yatakuwa sawa,,, majina yenu yanawekwa sawa kwenye system ili msisumbuke kwenye kupata hizo forms
Karibu sana,, swali lolote uliza wadau tutakujibuAsante saana broo,tuko weng weny maswali kam hayo
Karibu sana,, swali lolote uliza wadau tutakujibu
Kuhusu diploma sifahamu,, sina uhakika
Sante kwa ushirikano wenu bro zetu. Mi nmechagulw hapo dp education hii ya sisi wa science tuliokosa chance A level, nilkuwa naomba kujua mahtaj yote muhim yan yanayohtajika hapo chuon piamahitaj kulngana na prog yangu.! Pliz msaada wadau
diploma huwa wanaomba mkopo . wakishafika chuoni. then kuna gharama muhimu zinaitwa direct cost hz lazima alipie nikiasi kama laki mbili na themanini na kitu hivi. hapo pamoja na gharama ya hostel
Sina uhakika wa tarehe ila Nadhan kuanzia jumatatu au jum kila kitu watakuwa wamekamilisha ndo maana hata website ya udom haifunguki naona watakuwa wanafanyia processing hizo admission letterPoa bro kwaiyo admission letter zinaweza kutoka lin
hasa mkuu, 2kiombea chuon inakuchukua muda gan majbu kutka na vp kuhusu hyo direct cost na ya hostel kama hauna?
hasa mkuu, 2kiombea chuon inakuchukua muda gan majbu kutka na vp kuhusu hyo direct cost na ya hostel kama hauna?
Kwiyo ss wa special diploma in science and mathematics mkopo shida??