na vp kwa wale direct special diploma kuhsu mkopo nao wanaomba au wanalpiwa moja kwa moja?
Nyie mnalipiwa na serkal kk hiyo ni moja kwa moja wala usijal kwa hlo
na vp kwa wale direct special diploma kuhsu mkopo nao wanaomba au wanalpiwa moja kwa moja?
Kk ucje leta kituko ka hcho tranker piga chini Mzee,daftar utanunulia chuo ucje jarbu huend kijijin kla ktu kipo
mh! nimekuelewa kaka lakin manake pale udom pako salam sana hawawezi nichukulia v2vyangu
Tafuta begi lako zuri la kuweka nguo zako tranka mwisho form 6,, madaftari utanunua hukoWadau habari.
iv eti pale udom kunaumhimu wa kuwa na trancer?
na vipi kuhus isue ya daftari wakuu, yaan kwa education ni daftari ngapi zinahtajika? msaada wenu wadau@
Kk Chuo sio boarding in fact swala la wizi lipo ila sio ki hvyo other ways na uzembe wako uchangie na itategemea na watu utakao kuwa umepangiwa kuish nao,Umakini ni muhmu tranker sio lazma kwasababu rum kuna loka na zina sehem ya kufunga kma utakuwa huamin watu unaokaa nao kwetu sisi tulikuwa tunakaa wote wastarab ata uache laptop mezan cku mbili
Tafuta begi lako zuri la kuweka nguo zako tranka mwisho form 6,, madaftari utanunua huko
Matumizi ya laptopnice my johw! ila pia umenkumbusha isue ya laptop! niliambiw ni mhimu et@ vip nkwama2miz yep ay mkalia ang
nice my johw! ila pia umenkumbusha isue ya laptop! niliambiw ni mhimu et@ vip nkwama2miz yep ay mkalia ang
Vipi kuhusu ugawanyaji wa rooms unazingatia vigezo vipi???kwang mimi napend room mate tunaochukua course moja ili iwe rahis kujixomea
Vipi kuhusu ugawanyaji wa rooms unazingatia vigezo vipi???kwang mimi napend room mate tunaochukua course moja ili iwe rahis kujixomea
We c unaenda kupiga dip umesema
Kma una uwezo wa kununua laptop narudia kama una uwezo nunua itakusaidia lakn kma budget inasua sua unaweza kuanza bila laptop na baadae ukajipanga either kupitia hela ya boom na kadhalika.
hellooo!!!
We c unaenda kupiga dip umesema
Kma una uwezo wa kununua laptop narudia kama una uwezo nunua itakusaidia lakn kma budget inasua sua unaweza kuanza bila laptop na baadae ukajipanga either kupitia hela ya boom na kadhalika.
Wadau nahitaji admission letter haraka, ili muajiri aniruhusu nije hapo udom kusoma.
Zinapatikanaje?
Nyie mnalipiwa na serkal kk hiyo ni moja kwa moja wala usijal kwa hlo
Karubuni UDOM wakuu,me ndo natarajia kuanza semista ya 7