Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tufahamishane kwa wale waliotangulia kwenye kozi hyo maan wengne hatuelew tunalipa nn mengne yap wanalipa selikal special programe udom?
 
Mbona Nasikia Udom Maji Yanaleta Dag
sometimes na sio wakati wote nadhani kama unauelewa utakua unatambua matatizo yenye makutano ya watu wengi... maji yapo sana tu mimi nasoma hapo
 
First year wa Udom mnapaswa kufurahi kuchaguliwa chuo na hongera ila mkasome sana watu wanadisco sana bora hata SUA kwetu shule ni ngumu ila tunaajikongoja
 
Tufahamishane kwa wale waliotangulia kwenye kozi hyo maan wengne hatuelew tunalipa nn mengne yap wanalipa selikal special programe udom?
acha haraka kijana mambo yote mtapewa na mtajua ila direct cost huwa ni laki 2.4 na ushee flan ivi, na kujumlisha nusu ada utakayo takiwa kulipa tayari utakua registered
 
Jaman Hz admission letter lini kwa ss wa udom special diploma in science and mathematics
 
Wadau habari.
iv eti pale udom kunaumhimu wa kuwa na trancer?
na vipi kuhus isue ya daftari wakuu, yaan kwa education ni daftari ngapi zinahtajika? msaada wenu wadau@
 
Wadau habari.
iv eti pale udom kunaumhimu wa kuwa na trancer?
na vipi kuhus isue ya daftari wakuu, yaan kwa education ni daftari ngapi zinahtajika? msaada wenu wadau@

Kk ucje leta kituko ka hcho tranker piga chini Mzee,daftar utanunulia chuo ucje jarbu huend kijijin kla ktu kipo
 
Wadau nahitaji admission letter haraka, ili muajiri aniruhusu nije hapo udom kusoma.
Zinapatikanaje?
 
Back
Top Bottom