Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

>Library ipo japo vitabu havipo vya kutosha na nyenye kiwango

>vyumba vizuri hamna haja ya kubebana, omba tu Mungu upate roommates mnaoendana tabia

> madarasa yapo ya kutosha hata for private study haisumbui

Mkuu wakati mwingine pitia unachoandika kabla ya kupost
 
Changamoto ya usafiri kama mbagala kwa baadhi ya college kama education,tiba, natural science n info

usafiri sio shida sema tu lile gari la chuo linapita kwa mda maalumu, usipokuwepo unaachwa so utakazimika kujilipia usafiri..
 
Back
Top Bottom