npge tafu
Member
- Sep 15, 2015
- 11
- 3
Nicheckie anthony daniel S1608/503/2015
udom hawajatoa
Nicheckie anthony daniel S1608/503/2015
Nilifikiri utawaambia library nzuri ina vitabu vya kutosha
Na internet ipo kwaajili ua research nakudownload vitabu na kusoma vitabu online kama google books.
Kwahali yakula bata chuo nafikiri ushauri waajabu huo.
Tuache na chuo chetu fainali kaziniHa ha haaa wana chuo cha kata mnaitwa hapa mpeane mawazo
Informatics pakigumu gumu sanaaa.... Ni kama uboizini tuu.... Maana mademu hakuna kabisa, social and humanity ndo balaa...mtu mmoja mademu wawilii...hahah raha sana
Nisaidien link ya majina ya wanavyuo waliochaguliwa huko UDOM
Hayajatoka kijana we subiria tu utayaona
akupe sap,carry,disco,stress & depression na ukimwi in additional...:glasses-nerdy:UDOM hostel zakutosha,mazingira mazuri ya kusomea,internet ni full kwa wapenda movie ni kudownload tumaseries,cafetaria zakutosha,bata linalika sana club 7,club 84,maisha club,..totoz za cbe,mipango na st.john kibao..mungu akupe nini tena?
akupe sap,carry,disco,stress & depression na ukimwi in additional...:glasses-nerdy:
Mta enjoy sana UDOM
Jiandaeni kulipa pesa ya bima laki nzima ilihali wenzenu wa vyuo vingine wanalipa elfu hamsini
UDOM bana,chenga sana pale
inategemeana xa&college uloitwa labda social na humanity uko utaenjoy ila ukija natural&mathematical science especially Bsc in mathematics,Bsc in physics, Bioz chem utaiaga boom bila kupenda!!