Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Yani sawa na nikuonyeshe mia 5,na wewe uigeuze upande mwingine itabadilika nakuwa elfu 1?use your damn brain man!wote hao wakifika chuo ni matures they will handle business zao..wakisoma haya..wasipo soma shauri zao..

:thumbdown:
 
Nilingia UDOM sijalipa hata sh.50.



Basi wenzio wamebaki na msala..Vyuo vingine ukiwa na bima binafsi haulipi chochote but Dodoma. Unalipa elfu arobaini na sita.Ukiwa huna bima binafasi unalipa jumla ya laki na kitu...Hali haipo kwenye vyuo vingine vya serikali
 
Xaxa we umezoea kulala taa inawak mwenzio giza , kun hal gn itakayoendelea
Hahaha au upangiwe parishweka na we mtu wa club 😂😂😂
 
😨😨😨 duh kumb najulikana had humu 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃 #mtanganyika wa ukweli
 
Maji kidogo yanasumbua.. Kuchota kisimani. Hamna constant water flow kwenye mabomba ya toilet au bathroom kama tulivyozoea home

Changamoto ya usafiri kama mbagala kwa baadhi ya college kama education,tiba, natural science n info
 
Changamoto ya usafiri kama mbagala kwa baadhi ya college kama education,tiba, natural science n info
magari yanayoenda coed ni balaa haha kuanzia kugombania seat jamatini haha bora social hamna timbwili timbwili sana
 
Back
Top Bottom