Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

mimi ni undergraduate nangojea confirmation ya UDOM kupitia TCU ,nauliza majina second batch wataachia lini??
 
Ili tuwe karibu zaidi wale tuliochaguliwa UDOM tukutane kwenye group la whatsapp.....weka namba yako nikuad

Mtajadiliana nn angali wote mnakamba miguuni au ndo mnaanza kutongozana mapema??
 
aliyechaguliwa udom bsc in computer and information system security aje hapa nimuunganishe na mdogo wangu nayeye amechaguliwa hapo hapo

Kikoozi the hermaphrodite, kumbe una mdogo wako, ila we si umehitimu Milembe mwaka 1988 imekuaje ukavamia huku??
 
Kwenda town ata kwa ng'ondi tuu na ulemteremko faster tuu short cut makulu via medeli mara bungeni jamatini hiyo!easy tuu
 
aliyechaguliwa udom bsc in computer and information system security aje hapa nimuunganishe na mdogo wangu nayeye amechaguliwa hapo hapo

yani iyo kozi bora ahame tu, minimeisoma tangu mwaka 1995 mpaka leo sina kazi
 
Kwenda town ata kwa ng'ondi tuu na ulemteremko faster tuu short cut makulu via medeli mara bungeni jamatini hiyo!easy tuu

Duuh izo njia!! Huhuu ni shida asee, hope ntazifaham as soon as be there
 
Anyone admitted to CIVE?? Nazungumzia College of Informatics and Visual Edu
 
Back
Top Bottom