Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
😀😀😀😀 JamaniMi Niko single kwasababu SIPENDWI, period!!
😀😀😀😀 JamaniMi Niko single kwasababu SIPENDWI, period!!
AhsantePole sana
😀Ahsante
Now come, let's make it two with you 😍
Njoo nikupende mimiMi Niko single kwasababu SIPENDWI, period!!
Utanivumilia kweli?? Maana Bado natafuta ila Bado Sina (Hela)Njoo nikupende mimi
Ndo hivyo Yan.😀😀😀😀 Jamani
Hela nitakufautia mimiUtanivumilia kweli?? Maana Bado natafuta ila Bado Sina (Hela)
Kuja ntakuja ila Hela zako baki nazo mi ntatafuta zangu😎😎Hela nitakufautia mimi
Hahahaha hawez rudi tena hapaHela nitakufautia mimi
EeeeehNipo hapa..Sina sababu maalum.![]()
Basi karibu mkuuKuja ntakuja ila Hela zako baki nazo mi ntatafuta zangu![]()
Hataki hela zangu ila zake me nazitaka lazima atafute kwa juhudiHahahaha hawez rudi tena hapa
Asante ngoja nisogee PM tuyajenge.Basi karibu mkuu
🙋Eeeeeh
Hataki hela zangu ila zake me nazitaka lazima atafute kwa jjuhu
Hataki hela zangu ila zake me nazitaka lazima atafute kwa jjuhuka v
Basi ka vipi tuwe tunazijumlisha zote (zako na zangu) afu tunagawanya kwa mbili mkuu!Hataki hela zangu ila zake me nazitaka lazima atafute kwa juhudi
Kwa hiyo hadi fitness unaenda lakini watoto still wanaruka vigingi, dah malamamakNdo hivyo Yan.
Mbaya zaidi mi nikipenda Napenda ile kweli, ila kila nikijaribu kuwaelewesha hawa viumbe (SIO kwa maneno tu mpaka kwa vitendo) hawanielewi naishia kuwa rejected naona labda Ni kwa vile Sina mvuto Wala ushawishi wa Aina yoyote kwa hawa viumbe.
Saivi nshachoka Sasa sitongozi Tena labda utokee muujiza akatokea mmoja anipende mwenyewe Kama nilivyo, na nahisi utakuwa ni muujiza wa karne!!
Kwa hiyo hadi fitness unaenda lakini watoto still wanaruka vigingi, dah malamamak
😀😀 We acha tu mkuu!Kwa hiyo hadi fitness unaenda lakini watoto still wanaruka vigingi, dah malamamak
Basi ka vipi tuwe tunazijumlisha zote (zako na zangu) afu tunagawanya kwa mbili mkuu!



Hapana hmna kugawa yaan tunazichnganya alafu mimi natunza zote naendelea tena kutafuta 