Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,125
- 190,541
Haijalishi mwanaume awe mwenye hela au lofa foleni tunapangwa tu.....tena wasio na hela wakizipata ulimbukeni wao unaweza shangaa hvi ni yule humble bae wangu au mwengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah bahati nzuri mie huwa sibadiliki mamii wether nina hela au sina, nipogi neutral tu. Zaidi tu unadhifu utaongezeka kidogo ila humbleness hubakia vile vile.
Yani huwezi jua nahela au sina🤣🤣🤣
.....tena wasio na hela wakizipata ulimbukeni wao unaweza shangaa hvi ni yule humble bae wangu au mwengine



