Tulinganishe biashara na ajira hapa

Ndio uhalisia
 
Huwezi kuwa Bilionea kwa mshahara...lakini waweza kwa biashara..muhimu kuwa na vyanzo zaidi ya viwili vya kipato hata kama ni vidogo kimtazamo,
 
Biashara sio ya kila mtu. Inategemea na uwezo wako wa kuhimilia stress na uvumilivu wa ups and down.
Ukianzisha miradi basi utakua sehemu nzuri kuliko kuanzisha biashara
Kwa maisha yetu yanavyo kwenda ukistaafu napo unakwenda kufungua biashara sasa kwanin usianze mapem kama unawez kufany vyote na muda una ruhusu
 
huyu aliomba ushauri. So maushauri meengi yatatolewa kwa misimamo tofauti. mwisho wa siku yeye ataamua kipi kinamfaa.
 
Mkuu kwa heshma ungefafanua kidogo hapa
Kwa Mwezi Mmoja,
Mwajiliwa kipato chake ni kifupi (yaani Kiko limited)

Ila Kwa mfanyabiashara, Mwezi ni mrefu mno, ana uwezo wa kutengeneza pesa nyingi mno.

Ndo maana utashangaa wafanyabiashara wanakopa pesa za riba kubwa sn (25% plus) na wanarejesha fresh kabisa na hawawazi.

Ila watumishi wanaokopeshwa Kwa riba chee (below 17%) , Bado wanalalamika mabenki yanawanyonya.
 
Hii ni kweli kabisa
 
wafanyabiashara wanakopa pesa za riba kubwa sn (25% plus) na wanarejesha fresh kabisa na hawawazi.
Mifumo ya fedha kibongo bongo inaumiza.

South Africa,Average business loan interest rates at banks range from 6.6% to 11.5% ila bongo inaenda mpk 25-30% hii ni komesha,2025/26 tunahitaji mapinduzi makubwa kwenye financial sector.
 
Mm napokea take home ya 750k kwa mwez......naomben wazo la biashara la kuingiza 20k per day.

Fanya service based business(SBB)

waajiriwa wengi wanafanikiwa zaidi kwny biashara ya kutoa huduma kuliko ya kuuza bidhaa..
Mifano ya SBB
1)ride sharing services ie bolt,Uber,Kama una usafiri wako you can try this after working hours.
2) courier-unaweza kuwa courier wa Amazon au alibaba.
3)Education services -anzisha shule ya nursery,weka matron na mwalimu,mhasibu ww mwenyewe,uko mbeleni ukiwa na mapafu unaanzisha primary school kabisa.

Ongezea na hii idea
4)vending machine-kuna VM za soft drinks,Kuna za snacks,kuna za maziwa,huku mtaani kwetu kuna hadi vending machine ya maji ya kunywa,uwanja ni mpana..mchawi location.

Hizi ni baadhi ya ideas ambazo hazihitaji Sana uwepo wako ,unachohitaji ni upfront cost then after,u keep on downloading money.

Vending machine inafanania hv


Vending machine ya maji
 
Tusilinganishe ajira na vitu vya hovyo. Labda kama una biashara kama za akina Mwamedi. Sasa biashara ya mtaji milioni 10 mkuu huwezi kulinganisha na ajira. My wife mke wangu naona pale anavyoteseka na biashara zake sitaki hata kufikria. Nilitaka kuacha ajira kwamba tukapambane na biashara alinigomea kabisa!
 
Mtaji wa mkeo ni shingapi na wewe take home yako ni shingapi tuanzie hapo
 
Kwenye biashara hujafanikiwa Kwa sababu bado unamawazo ya kuajiriwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…