Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 5,561
- 8,202
Wakuu hebu tujaribu kulinganisha kati ya biashara na ajira kwa upekee na kwa factor zinazofanana au watu wenye madaraja sawa ya vipato kwa upande wa ajira na mtaji au mapato tuone nani anajilipa/analipwa shingapi na amefanya nini hadi sasa
Nikianza mimi, ki status ni mfanyabiashara mdogo mtaji around 500k-1m return around 300k-500k per month hadi sasa sina nilichofanya zaidi ya kuanza msingi wa nyumba kwa miaka sita toka nianze biashara
Karibuni tushee uzoefu
Nikianza mimi, ki status ni mfanyabiashara mdogo mtaji around 500k-1m return around 300k-500k per month hadi sasa sina nilichofanya zaidi ya kuanza msingi wa nyumba kwa miaka sita toka nianze biashara
Karibuni tushee uzoefu