GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,673
Mpaka kufikia hapa leo kuna mambo mengi ya nyuma ambayo yanaleta kumbukumbu za kusisimua wewe unakumbuka mambo gani? Kwa upande wangu nakumbuka jinsi nilivyokuwa tunatumia sabuni za kuogea kupaka mwilini. Ilikuwa ni msisimko wa aina yake kwa vijana wenzangu kwani wengi walinizunguka kutaka kujua nimepata wapi kwani ilikuwa ni vigumu kupata pafyum!
Pia siwezi kusahau jinsi ilivyokuwa kitu cha kawaida mtu kupaka mafuta ya kula mwilini.
Pia siwezi kusahau jinsi ilivyokuwa kitu cha kawaida mtu kupaka mafuta ya kula mwilini.