Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,555
Unamkuta Baba na Mama wanabebana na watoto kutoka nyumbani kwao wanasafiri eti wanaeda nyumbani walikozaliwa kula sikukuu. Binafsi siliungi mkono hata kidogo. Mtu ukishakuwa na familia - basi inakubidi usherehekee sikukuu na familia yako na ikibidi nawe ukawaalike ndugu zako (wapwa na wajomba).
Wanaopaswa kusafiri kwenda majumbani kwa wazazi wao kula sikukuu ni wale ambao hawajawa na familia na zaidi watoto wa shule.
Sasa we baba / mama unaacha mji wako na kusafiri umbali mkubwa; ukikuta hapo kwako kumeharibiwa na vibaka kwa kushirikiana na watu ulowaacha hapo kwako eti wakulindie nyumba / mji wako mtamlaumu nani?
Wanaopaswa kusafiri kwenda majumbani kwa wazazi wao kula sikukuu ni wale ambao hawajawa na familia na zaidi watoto wa shule.
Sasa we baba / mama unaacha mji wako na kusafiri umbali mkubwa; ukikuta hapo kwako kumeharibiwa na vibaka kwa kushirikiana na watu ulowaacha hapo kwako eti wakulindie nyumba / mji wako mtamlaumu nani?