Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,555
- Thread starter
- #61
kiukweli kabisa nimekukaribisha wewe na wala si familia yako. Nyumba yangu kule mlimani inanitosha mimi na familia yangu (ambayo imeshatangulia) na mgeni mmoja tu.
Nakaa mbali na mlimani na familia yangu kwa zaidi ya miezi 11 kwa mwaka, kukaa nayo kwenye nyumba yangu mlimani kwa wiki mbili kwangu ni furaha isiyosemekana
tutajulishana vituo kwa pm! Thanx a lot my friend.