Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Umeambiwa mtajie Wanasiasa watatu Top ambao walikuwa/wapo Serikalini walioshiriki ufisadi na wamefunguliwa mashtaka kwenye Vita zidi ya ufisadi.mmmh.. lazima usome picha usione tu JPM anakuchekea itakula kwako... hoja muona Rostam anaimba mwenyewe "kidumu chama cha mapinduzi"... yuko kwenye hali mbaya sana jamaa.. na siku akitiwa pingu msije kushangaa "mbona alikunywa naye chai"...