The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,263
Kama sio Wasukuma basi ni Wahaya,..na kidogo Wachagga wako na tabia za kishamba kama hizi,..ukibisha nenda pale Arusha-Matako bar utawakuta na hizo show-off zao.
Mkuu hao wachagga hao, muangalie mwenye Shati jekundu na anaevuta Sigara.
kama wameshateketeza kiti mdudu no shiida
Wajinga sana hawa watu...
Ukute majumbani kwao hawana hata vitanda au watoto wao wanasumbuka hawana vitabu vya shule...
Huu ulimbukeni si wa kuufungia macho...
kama wameshateketeza kiti mdudu no shiida
Kenya wana hii tabia sana haswa mwisho wa mwezi! Hawapendi kumsumbua muhudumu nenda rudi!
Yeah-ndio zao hao,...na hasa wasukuma na wahaya,....sorry to say that,...,!
Yeah-ndio zao hao,...na hasa wasukuma na wahaya,....sorry to say that,...,!