Tukutane NMB, Mshahara umetoka

Tukutane NMB, Mshahara umetoka

Umesema ukweli mtupu Mrembo wetu Meeyah! Haka kasungura kamewahishwa sana mwezi huu kiasi kwamba iwapo mwezi ujao watatuwekea tarehe za kuanzia 20 na kuendelea, lazima namba tuisome.

Rai kwa Watumishi wote wa umma; Tukatumie haka ka mshahara vizuri ingawa inafahamika wazi; Hakajawahi kutosha.
Kumbuka pia mara nyingi mwezi wa 7 mishahara inachelewa kwa kisingizio Cha budget
 
Awaongeze pesa,maisha yame_change,gharama za vitu alizozikuta kipindi tunamkabidhi nchi na leo ni tofauti,mshahara ule aliowakuta nao watumishi now haukidhi mahitaji yao,kuwapa mshahara sio tija..
Wale wa mishahara naona wanacheka Kwa mbali sanaaaa.Wameingiziwa Mapema Sana mwezi huu
 
mwezi ujao wakichelewesha mpaka kwenye tarehe 27 hivi kuna watu wanakufa na mawazo na vidonda vya tumbo.
 
Back
Top Bottom