Siko Dom c u next weekNipeleke mwanga bar kama salary tayar
MCA trick sanaSema trick sana
Siko Dom c u next week
DuhSalary tayari kwa baadhi ya wafanyakazi Kuna Shem wangu askari kanitumia elf 30 saiz nipate bia na dada yake.Nimemuuliza kitu tayari kasema ndiyo
ndio maana nikakujua!😉😉 mbii Munanso!Wewe mbn una jina LA kijjn kwetu
Safi munanso, subiri subiri 😀
ndio maana nikakujua!😉😉 mbii Munanso!
Kwa kweli mimi ni mtumishi wa umma na mshahara ni haki yangu, watumishi wenzangu mshahara tayari tangu saa tano
Nishajua kuna vimaneno vinatumiwa mahususi nawe umevitumiaHahahahaa! Kamwe huwezi kujua kazi yangu mkuu.
Hii kutoka kampuni ya tundu lisu limitedIzaa jaman niloa gua tyunu
Hii kutoka kampuni ya tundu lisu limited
Ulivyo taja mwanga bar tayai nikajua upo dom maaneo ya mji mpyaEti sifanyi kazi jaman achen dharau secretary wa hombolo mm
Dah! hii kali, ngoma haitoboi mwezi hii kweshnei…….Wale wa mishahara naona wanacheka Kwa mbali sanaaaa.Wameingiziwa Mapema Sana mwezi huu
epa tai wa Kukinampanda uwe! Anapakaa papo pa Kyalosangi!Izaa jaman niloa gua tyunu
epa tai wa Kukinampanda uwe! Anapakaa papo pa Kyalosangi!