Kwa namna ulivyocomment nishajua kazi yako![]()
![]()
@Demiss kwani unafanya kazi kwa mecco?
Hahahaa na usawa huu wa jiwe kumbe bado kuna wanaoonga kwa kutumia mishahara
Hatari sanaWale wa mishahara naona wanacheka Kwa mbali sanaaaa.Wameingiziwa Mapema Sana mwezi huu
Unafanya kazi idara gani?Jaman hebu semen vizur kitu tayar au jokes
Unafanya kazi idara gani?
Una afya gani hapo ulipo mkuu?Afyaa
Hahahaa na usawa huu wa jiwe kumbe bado kuna wanaoonga kwa kutumia mishahara
Una afya gani hapo ulipo mkuu?
Sio vizur at allAfande naona huna hela sasa unatafuta taarifa. jifunze kuwa na chanzo cha mapato mbadala. sasa ona unavyoteseka kufikiria mshahara tarehe hizi
Mwezi ujao mtalia na kusaga meno
Umejuaje kama hainihusu?Haikuhusu
Umesema ikweli mtupu Mrembo wetu Meeyah! Haka kasungura kamewahishwa sana mwezi huu kiasi kwamba iwapo mwezi ujao watatuwekea tarehe za kuanzia 20 na kuendelea, lazima namba tuisome.
Rai kwa Watumishi wote wa umma; Tukatumie haka ka mshahara vizuri ingawa inafahamika wazi; Hakajawahi kutosha.
Nani anakunyanyasa tena mrembo?Jaman kwann mnaninyanyasa
Mkuu naona umeuma na kupuliza! huu utani wa karibu na ukweli haufai aisee! 😀 😛Labda anataka ayatafute madanga yake yanayo fanya kazi Wizarani. 😀😀 jus joke Demiss
Sisi wengine hata hio mishahara hatuna habari nayoWale wa mishahara naona wanacheka Kwa mbali sanaaaa. Wameingiziwa Mapema Sana mwezi huu