abdi ally
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,563
- 2,169
Nakuja hapo muda si mrefu angalia nje kidogo subaru Impreza utaiyona hapo rangi ya black metalic DQLNipo mwanga bar
Nakuja hapo muda si mrefu angalia nje kidogo subaru Impreza utaiyona hapo rangi ya black metalic DQLNipo mwanga bar
Nakuja hapo muda si mrefu angalia nje kidogo subaru Impreza utaiyona hapo rangi ya black metalic DQL
mzigo tokea saa tano asubuhi nala windhoek samaki spot manina
Poa km nakuona unavyotafuna vyuku hapo!
Mungu anakuona salary ya mtu itakoma leo hapo halafu km nakuona unavyobugia savana kama zoteNakula mshahara wa MTU wa kwangu sijatoa hata kadi ya ATM sinaaa
Mungu anakuona salary ya mtu itakoma leo hapo halafu km nakuona unavyobugia savana kama zote
kula windhoek aisee hayo yana masukari sana ukinywa mengi yatakuzinguaSavvana 20 Leo zitanikoma
Wacha wafurahi wameitolea jashoWale wa mishahara naona wanacheka Kwa mbali sanaaaa.Wameingiziwa Mapema Sana mwezi huu
Njcheki PM.... nkujibu.Lengo la kuiwahisha hivi ni nini?
Baada ya hapo bila shaka lilifuata swali pendwa ". Hivi bae chu...yangu hiko wapi vile?Savvana 20 Leo zitanikoma
Teh teh teh safiiiTrick sanaaa
Hahaahaha unamuelewa ehhMCA trick sana
We binti upoHatari sana
Kwani thread imeanzishiwa pm?Njcheki PM.... nkujibu.