Tukutane NMB, Mshahara umetoka

Tukutane NMB, Mshahara umetoka

mishahara inawalemaza sana nyie boyas......mtaji wa kufanya biashara ya chai,vitumbua,chapati,bagia na samaki wa kukaanga hauzidi laki2 ...badala ya kulia lia humu kuhusu mshahara mpe wife mtaji hakosi zaidi ya elfu 15 kila siku haitoshi kula na mambo mengine? ...mbaf
 
mishahara inawalemaza sana nyie boyas......mtaji wa kufanya biashara ya chai,vitumbua,chapati,bagia na samaki wa kukaanga hauzidi laki2 ...badala ya kulia lia humu kuhusu mshahara mpe wife mtaji hakosi zaidi ya elfu 15 kila siku haitoshi kula na mambo mengine? ...mbaf
Pilipili usiyo ila yakuwashia nini hayawani weye?
 
Huyu mkuu kaamua kutoa mshahara mapema sana sasa watumishi jiandaeni next month mnaweza kuupata by tarehe 26
Hii ya kuwabadilishia watumishi tarehe ya mshahara inawatesa sana yani wengi hatua za mwisho huishia kukopa pale tarehe inapobadilika
 
Pilipili usiyo ila yakuwashia nini hayawani weye?
Sawa mimi ni High One umenikubali...sikiliza we Kenge, nimeila hiyo pilipili miaka 15 nikaona nitakuwa mwehu nikatoka........sasa nafanya biashara za kati ukiziona kwa macho ni za kipumbavu hata TRA wanapita mbali kabisa..ila si haba na bibie nimempa hiyo formula na mtaji sasa mambo madogo madogo sitoi hela mfukoni....endelea kukariri maisha nyang'au wewe
 
Fala wewe watumishi wote wakiwa wafanyabiashara wasio ajiriwa watafanya shughuli gani maisha kutegemeana mbwa wewe kila mtu akiwa mfanya biashara mnunuzi atakuwa nani
mishahara inawalemaza sana nyie boyas......mtaji wa kufanya biashara ya chai,vitumbua,chapati,bagia na samaki wa kukaanga hauzidi laki2 ...badala ya kulia lia humu kuhusu mshahara mpe wife mtaji hakosi zaidi ya elfu 15 kila siku haitoshi kula na mambo mengine? ...mbaf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nendeni ATM huko mkavute kitu ili kuepuka gharama za kuulizia salio, mambo yameanza kuwaka.
 
Back
Top Bottom