Tukutane NMB, Mshahara umetoka

Tukutane NMB, Mshahara umetoka

Kwa Nini unafatilia mshahara wa mtu mzima mwenzako kiasi hicho? (Hapa hamna Cha mdogo wako ni wewe mwenyewe. ...."toka mwezi wa 5" unaongea kama Ni mwaka juzi. Mwezi wa 5 si Ni wiki 3 nyuma? Jamani mwl vibaya hivyo?
Waliopanda madaraja. Mshahara haujarekebishwa . Mdogo Wangu mwalimu kapanda daraja tokea mwezi Wa tano na barua ya kupanda daraja kapewa lakini no changes.
 
Huyu mkuu kaamua kutoa mshahara mapema sana sasa watumishi jiandaeni next month mnaweza kuupata by tarehe 26
Miye Nawakumbusha tu kuwa mshahara huo uliotoka ndo huo huo wa kulipia ada za shule za watoto. Shule zinafunguliwa trh 8/7. Serikali wamewahi kwa kuwa wanafunga mwaka wa Fedha. Jiongezeni ninyi wenye mishahara.
 
Back
Top Bottom