but why
Member
- Nov 18, 2020
- 26
- 151
Kuna jamaa you tube anafundisha jinsi ya kujihami ukivamiwa na watu wenye silaha huku na wewe unamiliki silaha(bastola),comment hapo juu kuna visa kadhaa vya watu kuuliwa walipojaribu kutoa silaha soon ilipotokea ambush,..kwa mujibu wa maelezo ya yule muelimishaji wa you tube namna ya kujihami ni kwamba ukivamiwa ghafla baa au nyumban kwako usikimbilie kutoa silaha kwa sababu wao wanakua tayar wamejiandaa kwa lolote wewe haujajiandaa...jifanye unacooperate kwanza ,hakikisha unajua silaha ilipo na utaichukua pasipo kutazama na macho na ukiishika had kushoot iwe ni kitendo cha kushtukiza yan usichukue muda mrefu kuiset au kulenga...otherwise bora uwe mpole maana kitendo cha kuishika wakakuwahi wao matokeo yake ndio hayo wanakuua au kukujeruhi zaidi kuliko wenzako waliotoa ushirikiano