Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda

Kuna jamaa you tube anafundisha jinsi ya kujihami ukivamiwa na watu wenye silaha huku na wewe unamiliki silaha(bastola),comment hapo juu kuna visa kadhaa vya watu kuuliwa walipojaribu kutoa silaha soon ilipotokea ambush,..kwa mujibu wa maelezo ya yule muelimishaji wa you tube namna ya kujihami ni kwamba ukivamiwa ghafla baa au nyumban kwako usikimbilie kutoa silaha kwa sababu wao wanakua tayar wamejiandaa kwa lolote wewe haujajiandaa...jifanye unacooperate kwanza ,hakikisha unajua silaha ilipo na utaichukua pasipo kutazama na macho na ukiishika had kushoot iwe ni kitendo cha kushtukiza yan usichukue muda mrefu kuiset au kulenga...otherwise bora uwe mpole maana kitendo cha kuishika wakakuwahi wao matokeo yake ndio hayo wanakuua au kukujeruhi zaidi kuliko wenzako waliotoa ushirikiano
 
Kuna jamaa you tube anafundisha jinsi ya kujihami ukivamiwa na watu wenye silaha huku na wewe unamiliki silaha(bastola),comment hapo juu kuna visa kadhaa vya watu kuuliwa walipojaribu kutoa silaha soon ilipotokea ambush,..kwa mujibu wa maelezo ya yule muelimishaji wa you tube namna ya kujihami ni kwamba ukivamiwa ghafla baa au nyumban kwako usikimbilie kutoa silaha kwa sababu wao wanakua tayar wamejiandaa kwa lolote wewe haujajiandaa...jifanye unacooperate kwanza ,hakikisha unajua silaha ilipo na utaichukua pasipo kutazama na macho na ukiishika had kushoot iwe ni kitendo cha kushtukiza yan usichukue muda mrefu kuiset au kulenga...otherwise bora uwe mpole maana kitendo cha kuishika wakakuwahi wao matokeo yake ndio hayo wanakuua au kukujeruhi zaidi kuliko wenzako waliotoa ushirikiano
It's true, kwa wale popo Kama wenzangu na unamiliki Chuma (sijui Ni Glock, Beretta, etc.) Cha kwanza unatakiwa silaha Kama kwenye gari umeiweka sehemu (let's say glove compartment) inakua tayari ushafungua usalama na ngoma iko chemba. Ngoja nitarudi
 
Kuna jamaa you tube anafundisha jinsi ya kujihami ukivamiwa na watu wenye silaha huku na wewe unamiliki silaha(bastola),comment hapo juu kuna visa kadhaa vya watu kuuliwa walipojaribu kutoa silaha soon ilipotokea ambush,..kwa mujibu wa maelezo ya yule muelimishaji wa you tube namna ya kujihami ni kwamba ukivamiwa ghafla baa au nyumban kwako usikimbilie kutoa silaha kwa sababu wao wanakua tayar wamejiandaa kwa lolote wewe haujajiandaa...jifanye unacooperate kwanza ,hakikisha unajua silaha ilipo na utaichukua pasipo kutazama na macho na ukiishika had kushoot iwe ni kitendo cha kushtukiza yan usichukue muda mrefu kuiset au kulenga...otherwise bora uwe mpole maana kitendo cha kuishika wakakuwahi wao matokeo yake ndio hayo wanakuua au kukujeruhi zaidi kuliko wenzako waliotoa ushirikiano
Ni kweli kabisa

Sent from my M1 Lite using JamiiForums mobile app
 
Katika Uchaguzi mdogo wa Biharamulo Magharibi kufuatia kifo cha Fares Kabuye (kiboko ya Magu -Ubunge) by then, nilivamiwa na Red Brigade wa Chadema usiku hotelini. Robert Hotel wakataka kunivunjia mlango lkn hawakufanikiwa, waliwahiwa na Mkuu wa FFU Telesphory Anaclet akauawa Chacha Werema mdogo wake Mwita Waitara. Najiuliza ingekuwaje wangezama ndani?
 
Usiku una mengi, kuna wanadamu wao wamejitolea usiku kama ndio muda wao wa kutafuta chochote kitu, binafsi nimewahi kukutana na matukio machache ya kukutana na wezi usiku.

Tukio la kwanza, nakumbuka tulikua form six miaka ya nyuma tunatoka kwenye kumbi za starehe tukiwa watatu tunarudi tuliko kua tumepanga uswahilini, njiani tulikutana na wezi wametoka kuiba samani meza, vitanda, na viti walikua wengi kiasi, jamaa walitusimamisha mmoja wao akatupiga mkwara mzito sanaa, nakumbuka walitubebesha meza, rafiki angu mmoja mwenye mwili mkubwa yeye alibebeshwa kabati, tulitembea kama kilomita mbili hivi wakatuachia, yule mwenzetu aliebeba kabati aliumwa mgongo wiki nzima.

Tukio la pili, nikiwa nakatiza mitaa ya Sinza, nikakutana na kundi la vibaka wako kama sita hivi saa sita usiku, ilikua ni ile position unakata kona unakutana na watu hawa hapa, sikusita nikapita kati kati yao maana hakukua na namna nyingine ya kukimbia, nilipigwa kabali ya hatari, huyu kashika mguu huu, mwingine kashika mguu mwingine, walinichukulia simu, waleti na viatu, tukaachana kwa mengi matusi tunatukanana.

Tatu, hii ilinikuta maeneo mapya niliyokua nimehamia, mida ya saa tano usiku nimetoka kunywa mitungi mtaa wa pili, walikuja vijana wawili kwenye boda boda na mapanga yao, mmoja nilimvamia kwa speed ya hatari nilimrukia teke moja akaanguka analia ana kufa, siku laza damu nilikimbia speed ya kufa mtu.

Unaweza kushare mawili matatu kama umewahi kukumbwa na maswaibu haya, then watu wakajifunza chochote na kuchukua precautions siku za mbeleni.

Pia soma Fanya yafuatayo ukigundua kuna majambazi nje ya Nyumba yako

Mkuu hapo umekutana na VIBAKA tu ,Jambazi anatembea na CHUMA ,Ukikutana naye lazima Ukae Chini.

Ebu sikiliza matukio ya Ujambazi yanavyokuwa.


 
Me nilikutana nao mwaka jana. lakin hao tuseme ni vibaka wako na bodaboda. ilikua arusha njiro natoka kwenye sherehe kwenye kotaz za fidforce njiro .basi nikatembea mpama barabara kuu .ikapita boda nikasimamisha . nikapanda jamaa akaenda simama sehemu.kumbe kuna wenzie wawili .duuu wazee sjui nilipata wapi ujasiri yaani kama movies nilishuka .kwenye pikpk mazima nikamvaa mwenye sime wengine hawakua na siraha .nilishika ile sime kwenye makali uku wengine wakinipiga ngumi za uso .sikuhachia sime mpaka nilipofanikiwa kuwanyanganya .baada ya kuona nmechukua sime wale jamaa wanakimbia kuwasha toyo haiwak lkn na mimi hapo sina nguvu tena . najaribu kuwafata nashindwa . baada ya hapo natembea kuomba msaada watu wananikimbia maana niko na panga ina damu nyingi na mimi mikono inamwagika damu .mpaka leo vidole vi wili havifanyi kazi.
staki kumbuka iyo siku
 
Kwa adhabu za hatari :
-walianza kwa kuto.mba moto usiku kucha. Yaani tuliwasha moto mkali wa kuni kubwakubwa. Wakavua nguo na kuanza kupitisha dushe zao kwenye moto polepole kama wanachoma panya.
-baada ya kuhakikisha wameijiivisha wenyewe na kuungua vooozee lote tuliwapa maji ya kunywa ya vuguvugu watulize uchungu
-tulichonga majiti kama mambo za kupimia kiwanja na kuwadidimiza mmojammoja utosini ikiwa ni mkono wa buriani. It was so sweet to see those skunks begging and thriving for our mercy!

how were you able to accomplish this ? ebu elezea vizuri...
 
Miaka ya 2003 nilivyamiwa na majambazi mitaa ya karibu na beria ya oldonjoshambu....nikiwa natokea kenyaa,walikuwa Ni wasomali aka mashiftaa,mamaeee nilikua kwenye Nissan patrol,Niko Mimi na swaiba wangu tunasafirisha magendo.jamaa waliweka mawee makubwa mawili barabari,tulikuwa speed sana Kama mita Mia hivi tuliona Yale mawee jamaa nikamwambia man boraa tufee kwa ajali bro hakuna kusimamaa,jamaa aka chepuka speed ile ilee porini ngomaa ikapenyaa mbele akatokea msomali kashika bunduki la mkanda Kama Rambo,nikamwambia jamaa mpelekeee chumaaaa walaaah nisikia kishindo puuuuuh na vidamu kwenye kioo ngomaaa ikanyooka break beria ,kucheck kwenye ngao naona Kuna kipandee Cha mguu
 
Miaka ya 2003 nilivyamiwa na majambazi mitaa ya karibu na beria ya oldonjoshambu....nikiwa natokea kenyaa,walikuwa Ni wasomali aka mashiftaa,mamaeee nilikua kwenye Nissan patrol,Niko Mimi na swaiba wangu tunasafirisha magendo.jamaa waliweka mawee makubwa mawili barabari,tulikuwa speed sana Kama mita Mia hivi tuliona Yale mawee jamaa nikamwambia man boraa tufee kwa ajali bro hakuna kusimamaa,jamaa aka chepuka speed ile ilee porini ngomaa ikapenyaa mbele akatokea msomali kashika bunduki la mkanda Kama Rambo,nikamwambia jamaa mpelekeee chumaaaa walaaah nisikia kishindo puuuuuh na vidamu kwenye kioo ngomaaa ikanyooka break beria ,kucheck kwenye ngao naona Kuna kipandee Cha mguu
Duh
 
Miaka ya 2003 nilivyamiwa na majambazi mitaa ya karibu na beria ya oldonjoshambu....nikiwa natokea kenyaa,walikuwa Ni wasomali aka mashiftaa,mamaeee nilikua kwenye Nissan patrol,Niko Mimi na swaiba wangu tunasafirisha magendo.jamaa waliweka mawee makubwa mawili barabari,tulikuwa speed sana Kama mita Mia hivi tuliona Yale mawee jamaa nikamwambia man boraa tufee kwa ajali bro hakuna kusimamaa,jamaa aka chepuka speed ile ilee porini ngomaa ikapenyaa mbele akatokea msomali kashika bunduki la mkanda Kama Rambo,nikamwambia jamaa mpelekeee chumaaaa walaaah nisikia kishindo puuuuuh na vidamu kwenye kioo ngomaaa ikanyooka break beria ,kucheck kwenye ngao naona Kuna kipandee Cha mguu
Bro em ongezea nyama kdg aisee aliweza fyatua risasi? Na damage ilikuaje kwenye gari
 
Bro em ongezea nyama kdg aisee aliweza fyatua risasi? Na damage ilikuaje kwenye gari
Mkuu jamaa wa mbele hakuweza kufyatua risasi,maana walizani tutapunguza mwendo na kusimama Ila kwa speed ileile 190 tukachepukaa so alitokea barabarani kwa ghafla ndo tuka mgonga,Ila wezake walijaribu kutufyatulia risasi kadhaa zikapika tairi ya nyumaa spea na kuvyunja kioo Cha nyuma,kwakweli mnyama Nissan patrol zilee chura Ni nomaa,polisi walituambia kweli nyie Ni wanaume washoka,kipindi hicho na miaka 19 mwezangu 23
 
mie mwaka 2009 mwaka mpya walikuja njemba zaidi ya 10,nakumbuka mzee ndo siku alikuwa ameuza spacio yake kwa milioni 9 hata bank alikuwa hajaipeleka wakavunja mlango but kabla walipiga risasi moja juu mi nlivyoskia tu fasta nkapanda juu ya dari nlipanda vipi mpka leo sikumbuki basi wakafanya yao mzee alikuwa analia kama mtoto,asubuhi akaitwa mpemba akafanya dua yake bhana dah wapemba siyo watu wazuri maana baada ya dua tu jirani zetu zaidi ya wa 3 waliondoka siku ile ile mpka jioni vitu vyote vilirudi na faini juu
heahima kwenu wapemba


Sent from my iPhone using JamiiForums
ndo dawa yao mbwa hao,wapemba noma
 
Mkuu jamaa wa mbele hakuweza kufyatua risasi,maana walizani tutapunguza mwendo na kusimama Ila kwa speed ileile 190 tukachepukaa so alitokea barabarani kwa ghafla ndo tuka mgonga,Ila wezake walijaribu kutufyatulia risasi kadhaa zikapika tairi ya nyumaa spea na kuvyunja kioo Cha nyuma,kwakweli mnyama Nissan patrol zilee chura Ni nomaa,polisi walituambia kweli nyie Ni wanaume washoka,kipindi hicho na miaka 19 mwezangu 23
Magendo yenu wakayasamehe au?
 
Me nilikutana nao mwaka jana. lakin hao tuseme ni vibaka wako na bodaboda. ilikua arusha njiro natoka kwenye sherehe kwenye kotaz za fidforce njiro .basi nikatembea mpama barabara kuu .ikapita boda nikasimamisha . nikapanda jamaa akaenda simama sehemu.kumbe kuna wenzie wawili .duuu wazee sjui nilipata wapi ujasiri yaani kama movies nilishuka .kwenye pikpk mazima nikamvaa mwenye sime wengine hawakua na siraha .nilishika ile sime kwenye makali uku wengine wakinipiga ngumi za uso .sikuhachia sime mpaka nilipofanikiwa kuwanyanganya .baada ya kuona nmechukua sime wale jamaa wanakimbia kuwasha toyo haiwak lkn na mimi hapo sina nguvu tena . najaribu kuwafata nashindwa . baada ya hapo natembea kuomba msaada watu wananikimbia maana niko na panga ina damu nyingi na mimi mikono inamwagika damu .mpaka leo vidole vi wili havifanyi kazi.
staki kumbuka iyo siku
Pole Mkuu.
 
Miaka ya 2003 nilivyamiwa na majambazi mitaa ya karibu na beria ya oldonjoshambu....nikiwa natokea kenyaa,walikuwa Ni wasomali aka mashiftaa,mamaeee nilikua kwenye Nissan patrol,Niko Mimi na swaiba wangu tunasafirisha magendo.jamaa waliweka mawee makubwa mawili barabari,tulikuwa speed sana Kama mita Mia hivi tuliona Yale mawee jamaa nikamwambia man boraa tufee kwa ajali bro hakuna kusimamaa,jamaa aka chepuka speed ile ilee porini ngomaa ikapenyaa mbele akatokea msomali kashika bunduki la mkanda Kama Rambo,nikamwambia jamaa mpelekeee chumaaaa walaaah nisikia kishindo puuuuuh na vidamu kwenye kioo ngomaaa ikanyooka break beria ,kucheck kwenye ngao naona Kuna kipandee Cha mguu
Duh!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom