Kuna vibaka walikuwa wanasumbua sana mtaani. Hasa nyumba niliyokuwa nimepanga. Tulikuwa kama wapangaji 7 ukiachia mbali kijana wa mwenye nyumba. Mwenye nyumba alikuwa haishi hapo ila kijana wake tu
Sasa siku ya siku saa tatu usiku tumefunga geti dogo nje akapiga kelele kuashiria kuna kibaka karuka ukuta. Watu fasta wakawahi kwenye sehemu ya kurukia ukuta ili asitoroke. Tuka mweka mtu kati.
Jamaa mpangaji mmoja akaanza kumpiga kichwani mapigo hatari. Nikaogopa anaweza kufa. Halafu ni uani. Kesi ya kuua hiyo. Mtu mwemyewe mdokozi tu kwa jinsi nilivyofikiria. Nikamzuia na bahati nilikuwa nasikilizwa. Niliwaambia hiyo kazi niachiwe mimi.
Nikachukua vyuma Vya kutundikia mashati kama sita hivi halafu nikawasha jiko LA gesi. Nikawa naweka kwenye jiko LA gesi mpaka viwe vyekunduuu. Halaf namtumbukizia ndani ya jeans yake au ndani ya shati lake. Haloooo
Si kuruka na Makelele hayo. Harufu ya nyama kuungua ikasambaa kama tunachoma nini sijui.
Ikabidi aanze kumtaja boyfriend wa mpangaji mwenzetu kwamba wanafahamiana
Yakaanza kama mabishano kati yao. Boyfriend wa mpangaji mwenzetu akidai hamjui kabisa mwanzo. Lakini kibaka anakomaa na kutoa maelezo ya kina kuthibitisha kufahamiana. Dah.
Mimi Niko bize kuweka vyuma kwenye jiko LA gesi na vikiwa vyekundu nambambikia mwilini. Halafu yeye anaropoka kuomba msamaha na kusema ni jamaa yake na huyo jamaa.
Ikabidi T-shirt na jeans avichanechane ikabidi kumwekea vyuma vya moto katikati ya mapaja na kwapani huku akiwa kashikiliwa. Aisee
Walikuwa wawili Mwenzie alitutoroka.
Baada ya hapo hatukusikia tena purukushani za vibaka mtaani
Sasa siku ya siku saa tatu usiku tumefunga geti dogo nje akapiga kelele kuashiria kuna kibaka karuka ukuta. Watu fasta wakawahi kwenye sehemu ya kurukia ukuta ili asitoroke. Tuka mweka mtu kati.
Jamaa mpangaji mmoja akaanza kumpiga kichwani mapigo hatari. Nikaogopa anaweza kufa. Halafu ni uani. Kesi ya kuua hiyo. Mtu mwemyewe mdokozi tu kwa jinsi nilivyofikiria. Nikamzuia na bahati nilikuwa nasikilizwa. Niliwaambia hiyo kazi niachiwe mimi.
Nikachukua vyuma Vya kutundikia mashati kama sita hivi halafu nikawasha jiko LA gesi. Nikawa naweka kwenye jiko LA gesi mpaka viwe vyekunduuu. Halaf namtumbukizia ndani ya jeans yake au ndani ya shati lake. Haloooo
Si kuruka na Makelele hayo. Harufu ya nyama kuungua ikasambaa kama tunachoma nini sijui.
Ikabidi aanze kumtaja boyfriend wa mpangaji mwenzetu kwamba wanafahamiana
Yakaanza kama mabishano kati yao. Boyfriend wa mpangaji mwenzetu akidai hamjui kabisa mwanzo. Lakini kibaka anakomaa na kutoa maelezo ya kina kuthibitisha kufahamiana. Dah.
Mimi Niko bize kuweka vyuma kwenye jiko LA gesi na vikiwa vyekundu nambambikia mwilini. Halafu yeye anaropoka kuomba msamaha na kusema ni jamaa yake na huyo jamaa.
Ikabidi T-shirt na jeans avichanechane ikabidi kumwekea vyuma vya moto katikati ya mapaja na kwapani huku akiwa kashikiliwa. Aisee
Walikuwa wawili Mwenzie alitutoroka.
Baada ya hapo hatukusikia tena purukushani za vibaka mtaani