Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Acheni wivu wa kike - Pius Msekwa alipokuwa akijitetea baada ya kubanwa kuwa yeye ni Spika wa Bunge na huku ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Vodacom Tanzania.
naenda kuwandalia makao - MAkamba,
mwenye nukuu za Makamba atumwagie, maana yule babu alikuwa ni kinara wa kuongea pumba
Unajifanya kuongea ongea sasa hutfaidi kwani mtoto mkaidi huwa hafaidi - akimuambia Nape Nnauye mbele ya waandishi baada ya Nape kuibua scandal ya mradi wa ujenzi wa jengo la UVCCM.
Si mnaona siku hizi nazidi kupendeza tofauti na nilivyokuwa serikalini kule njaa tu hakuna kitu, njooni kwenye chama si mnaona....-alikuwa akiwaambia waandishi wa habari.
Wakiongea kwenye simu na mmoja wa wagombea Ubunge wakat wa mchujo baada ya kura za maoni mjini Dodoma;
Ma-rope (akizuia kuonana naye ili kutozu tafrani japo waliku karibu akaamua kupiga simu); Eti Ndungu wewe si ni raia?
Ndungu (akiwa ndani ya suti yake nyeusi); eeer... Ndiyo mzee kwani vp huko?
Ma-rope: Eti wanasema uliukana urai ukachukua wa sauzi, kwani kuna mtu mwenye ushahidi na hili?
Ndungu: hapana mzee....
Nje ya mada....mada inataka vijineno vya MARAISA mbalimbali. Sasa huyu Makamba na Msekwa walishawahi kua marais?!?!