Tukumbushane "table manners" mbovu

 
Wakati mnakula mmoja wenu anachokonoa pua

Ova
 
Kulikuwa na uhaba wa sahani? Kwa nini kila mtu asile na sahani yake?
 
Unakula ugali wa mchuz Na mtu mwenye kucha nyeusii....
Daah hii nimempiga mabiti dogowangu sana sie kilamtu anakula kivyake kujipakulia siku nyengine uvivu unaunga dogo kucha kubwa nyeusi
 
Si nyie wabongo mmefunzwa upuzi huu na hao waarabu
,Kenya ni uzungu kwenda mbele.
Kila mtu sahani lake pamoja na uma na kijiko.
Wakenya mnapenda sana kujipaisha..ni wakati ni wachafu .. na wachoyo ...mliopindukia...
 
Unakuwa wa kwanza kupakua unachota mboga yote mwenyewe bila kujali kuna wengine
 
Nimekumbuka kabisa babu yangu, RIP wajina wangu😀😀
Chakula kikija yeye ananza bakuli la mchuzi, anakunywa kwanza hadikifike kiwango akitakacho then ndio mnaanza kula.
Wazee wazamani miyeyusho kweli...
Alikuwa anawajali alilazimika kuonja kama una sumu kuvu.
 
Ila ingekua dagaa wala msingemwona
 
Mlikua matajiri kwenu bila shaka
Wala sio utajiri. Ni tabia mbaya tu ya waswahili. Kuna mabakuli, masinia, masufuria. Pakueni humo mle sio kushare.
.
.
Babu yangu hakuwa maskini alikuwa anajiweza vizuri sahani zipo za kutosha lkn ukienda kwake wote mnakula kwenye sinia moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…