Tukumbushane Nyimbo za Bongo Flava Zilizotamba enzi za 2000-2008

Mnataka kuzingumzia Bongo Flava mnawakumbuka KU "Kwanza Unit"..?!!!

hii thread ilikuwa 2007 watoto sikuhizi hebu some hapo chini


fuatilia hapa https://www.jamiiforums.com/entertainment/8100-hawa-wako-wapi-sasa-6.html#post114063
 
Kero no 1 underground hi nymbo mpaka leo nkisikia nakubal rap zaman bana,kuna machali kama Fredy jbu (rip) spark dog,father nely (rip) mac stif jcb wa enzi izo hu squad kbl hajalainka watengwa,lord eyez kbl ya unga Ak na mafaza wengne enz za metro mawngu dah arusha ilkuwaga kwel hip hop cty
 
Mnataka kuzingumzia Bongo Flava mnawakumbuka KU "Kwanza Unit"..?!!!

hii thread ilikuwa 2007 watoto sikuhizi hebu some hapo chini


fuatilia hapa https://www.jamiiforums.com/entertainment/8100-hawa-wako-wapi-sasa-6.html#post114063

mkuu vijana wa leo hawawezi elewa hii kwani enzi hizo hata wanaoitwa wakongwe wa game leo walikuwa hawapo...huyo mr 2 sugu alikuwa mbeya sijui iringa huko,nigger j a.k.a prof j hajulikani alikuwa wapi!!!!huwezi zungumzia wakali wa enzi hizo bila kuitaja fukwe ya coco beach na zile beach parties ambapo k.u crew ndo ilikuwa ngome yao!
 
Sijui ilikua nani, nakumbuka tu alikua chipukizi wa mwanza,
ila hio chorus alikua mdada ana sauti bomba ile mbaya...

alikuwa ni suma genius kijana wa mwanza! Leo nimeukumbuka sana ule wimbo wa Daz Nundaz-KAMANDA!
 
Mkuu enzi zile kutoka ilikua kazi usipime!
 
Mkuu hivi kwanza unit kind Di-rob na GK si ndipo walipotokea? Washikaji walikuwa wanachana mbaya duh!
 
Sos B kapotelea wapi huyu jamaaa? Kana kunamtu anafaham roots za huyu mtu atutupie humu plz!
 
Nigger Jay enzi hizo hana uproffesal teh! Teh! Alikuwa na Terry na willy. Dah! Hard Blasterz Crew was hot!
 
Nyumba ya urithi...''ndugu zangu wamenitenda ooh,kitendo kibaya wamenitendeaaaa,sikujua napokwenda mi,ila mungu bado ananipenda;''...hope mnaukumbuka...ni jamaa anaitwa 'kijiwe'
Mkuu huyo hakua TX-MOSHI KWELI?
 
Manzese crew na ule wimbo wao wa CHINGA teh! teh! Sina uhakika nawachanganya na TBT CREW!
 
Doctore mzee vp unazo tape za Sugu, nimezimis sana zile za kuanzia 1995 kipindi anaanza game!
Mkuu mi nasaka album yaka ile ya ndani ya bongo na maisha na muziki.. Dogo alizichukua akeibiwa shuleni!
 
Mkuu hivi kwanza unit kind Di-rob na GK si ndipo walipotokea? Washikaji walikuwa wanachana mbaya duh!

d ro a.k.a zomba ndo alipotekea ku crew na pale maeneo ya o bay ndo ilikuwa ngome yao mpaka IST na coco beach!GK kipindi hiko hakuwa anajulikana kimziki alikuwa ni rafiki wa marehemu D ROB anayeitwa BEIBII na JLT
 
mnaukumbuka ule wimbo wa dully skykes NYAMBIZI? ULIKAMATA MASIKIO YA WATU SANA.
wimbo wa kijinga sana kupata kutokea,sijui kwa nini umeukumbuka,hivi kweli mtu uliyelelewa kwenye maadili unaweza kutunga au kuimba wimbo kama huo?

 
dk, mi nmekuja tu kupata hitimisho,
dalili zinaonyesha kwamba mi nimetharika...........
ninao niiano, subiri vipimo;... ninao nniao;... usikate tamaa ................. huu nao ulitesa!!! ni nani vile?

na ule wa nikimnunulia soda hataki anataka togwa, viatu anaweka ndani ya friji, nafikiri ni wa Prof. J. kama sio maji marefu.
 
Mapenzi matamu - RC

Nakuambia aah siri yangu, inayohusu maisha yangu inayosumbua moyo wangu....... JD
 
Dar DSM sema Dar salaaam ya Sugu, Bongo Dar es slaam ya Prof Jay, Yo Mamsup waaa nipoze moyo mama nimechanganyikiwa penzi lako la maana...HBC, Mtoto wa Gate Kali ya Harouni
 
'angekuwepo duniani nisingewaza,rafiki yangu kipenzi niliempenda,

'hayuko tena duniani swahiba,niliempenda kwa wangu moyo swahiba' *2
 
'kipi kikusikitisha............sikitisha..........sikitisha
kipi kikusikitishacho..........ulichonacho we,shauri yako we!"

nadhani walikuwa Bantu Pound wale jamaa!

afu mheshimiwa mbunge wangu wa sasa akagonga;'nakumbuka nlivoanza na yo rap bonanza,enzi za zazuu,enzi zile we ni zuzu,enzi za tz.

toka tz A,B,C,D itafika mpaka Q wakati bado juu kama nna juju'..
.....dah,sugu weh!iko wapi ile hip hop ya ukweli,ya kina GWM,NWP dip-low-matz nk.!?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…