Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Mwneye wimbo wachumba 30 alijinyonga? hivi yule alikuwa na matatizo gani? du! kaazi kweli kweli!
hahahaha! Pole jamani. Nimemtania tu. Hivi bush party ilikuwa mwaka gani vile?
posts za gagurito haziwezi kubadilika hata abadili username. Lol!Ukishasoma delete hii post gagurito asiione.Sikumbuki bora ungeniuliza wakati Gagurito hajabadilisha Avatar labda ningekumbuka maana nilipoingia nikafikiri nimepotea njia lol... sijui tuseme na post zake zitabadilika???
posts za gagurito haziwezi kubadilika hata abadili username. Lol!Ukishasoma delete hii post gagurito asiione.
yako ngoja ibaki. Tukifuta zote tutampunguzia idadi.ha ha ha ... nafuta.. i hope umefuta yangu pia...
Mkuu unakumbuka HILI GAME ya Juna Nature?
hakuna hatari wa complex RIP,Nicheki wa O ten! Dah hapa nakumbuka the cruiz ya east afrika radio enzi zileee.
"Bara bara ya mwanza wauza samaki watajidai..." mistari ya kwenye ule wimbo wa Muungano wa Ccm na Cuf!Ha ha ha nakumbuka wakati huo Juma nature ni rafiki na Inspector Haron, Ay Y na Crazy GK wapo East Coast pomoko na FA, Gagwe Mob wapo juu Mbaya.