Namshukuru mungu nimekuona tena sura yako ndugu yangu, maandamano kidogo yapite na roho yangu mungu ni mwema ila yamepita na roho ya ndugu yangu kipenzi.Mm hapa Natumia JF bila VPN
Hongera na pole sana mkuuNamshukuru mungu nimekuona tena sura yako ndugu yangu, maandamano kidogo yapite na roho yangu mungu ni mwema ila yamepita na roho ya ndugu yangu kipenzi.
Mm hapa Natumia JF bila VPN
Jana pia nilikuwa natumia bila VPN nikaona kama muujiza hivi! Ioa Sasa hivi natumia VPNMm hapa Natumia JF bila VPN
Yah naona sasa hivi imekuwa mzito, mpaka VPN ndo inafaaJana pia nilikuwa natumia bila VPN nikaona kama muujiza hivi! Ioa Sasa hivi natumia VPN
Kwa vpn, not otherwise! Kwenye desktop sipati maana vpn not compatible with my desktopIme funguka mbona
Mtaisoma namba nabado!!
Ngoja tunyoshane kidogo...Mtaisoma namba nabado!!
Kazi iendelee acheni blah 😁!Ngoja tunyoshane kidogo...
20 tena...Kazi iendelee acheni blah 😁!