Tukumbushane kidogo tu

Tukumbushane kidogo tu

mbozimbozi kumwitu

Senior Member
Joined
Mar 8, 2025
Posts
158
Reaction score
187
Mathematics is very sweet if you known to calculate,recall this for moment.
 

Attachments

  • IMG_20250331_092107_625.jpg
    IMG_20250331_092107_625.jpg
    255.9 KB · Views: 19
Mathematics inaponichosha ni pale wanalijua jibu kabisa wanakaa kutusumbua Find x, kila swali Find x.
Kwani Kuna somo unalotafuta uibu lisilojulikana....bios chem na phy unafanya practical inayojulikana mpaka njia za mkato ili upate jibu
 
haha maths imezidi! hio x waliipotezea wapi maana kila swali find x
Mtu wa kwanza aliyewaza kutumia x inaonekana ni mzee wa minjunjano sio kirahisi akaacha heruf kuanzia A mpaka W akadili na X tu
 
Mathematics ni games ya kucheza na nambari, signs kwa kutumia kanuni.. Unapaswa ujue kanuni kisha ndio akili iweje kucheza hiyo game vizuri.
 
Mathematics inaponichosha ni pale wanalijua jibu kabisa wanakaa kutusumbua Find x, kila swali Find x.
Nilipoingia form one niliitukana hisabati kwa kuiambia 'Hisabati kumanyoko' ndiyo maana siijui hadi leo
 
Kwa kuangalia mtililiko kwenye hiyo karatasi uona mbona easy tu, njoo kwenye kanuni sasa macho yanakuwa hayaoni vizuri 😳
 
Back
Top Bottom