Tukumbushane kazi alizofanikisha Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

Mbona mnayamurika kwa tochi mafanikio asiyostahili!
Leo nimekutana na veteran mmoja aliyezuia ma lory ya mafuta kwenda nje ambayo hayakuwa yametimiza mashariti...yaliyomkuta...hatasahau😡!
Yapi hapo ambayo hastahili? Nitajie miradi mitano mikubwa mitano tu aliyofanikisha Magufuli ndani ya miaka 5
 
Haya wewe ambae ni cream naomba unitajie miradi mitano tu mikubwa ambayo ameifanya Magufuli na imeisha ndani ya miaka 5 aliyoongoza.
Hakuna kitu Mkuu zaidi ya Daraja la Mfugale na la Ubungo Mataa. Angalia hata haka kabarabara ka Mwenge -Morocco, ni Km 6 tu alianza Sherehe za Uhuru 2015 mpaka leo bado wanajenga.

Ile ya Kimara- Kibaha njia 8, wamejaza mapipa tu barabarani. Mimi ndiyo maana namuona alikuwa kichaa, anabomoa nyumba za wananchi, hawalipi fidia na babara haimaliziki.
 
Haya wewe ambae ni cream naomba unitajie miradi mitano tu mikubwa ambayo ameifanya Magufuli na imeisha ndani ya miaka 5 aliyoongoza.

Mimi niko kwenye field ya construction mzee, hakuna mega project yenye wealth kuanzia 300billion above inayoweza kamilika within or less than 5yrs iwe Building or Civil work, yote huwa inaweza chukua above of 5yrs tena with full commitments! Mfano mdogo huyo wa Msoga mradi wake wa Terminal 3 Kipawa wenye wealth around 540billion mbona haukukamilika ndani ya his tenure of 10yrs mpk kuja kukamilika awamu ya 5? Hata iyo Mwendokas tu ilifel ilikuja kuwa handed over 2016!
 
je mkandalasi angemaliza bila pesa?

Hayo majengo yote ya wanajeshi tafuta nani alikuwa mkandarasi na ndio hapo utajua kama Mkwere alikuwa anapiga pesa au la!!! Kikwete alikuwa Rais fisadi kuliko wote waliotamgulia.! Ni Rais aliyethamini ushikaji katika teuzi zake kuliko MERITOCRACY! Kikwete alikuwa anateua washikaji zake kuwa maDC wenye kiwango cha elimu ya UPE!!
 
Wewe ndio mgonjwa wa akili...as we speak Tanzania ina km 12k za tarmac road(source Tanroads)...izo 14k alijenga hewani?
km awamu zote zimejenga 12k, yy amejenga 14k, hao maraisi wengine walijenga km ngapi?
lets say hawakujenga kabisa, izo 2k za ziada zimepotelea wapi?
Ulivyo kilaza hujui ht km 1Km ya Lami ina cost how much na lile bwawa limetu cost how much.
Kifupi 1km of a tarmac road ni 1B so izo 1500k zitacost 1.5T while lile bwana litatucost 6T.
Now tafta thamani ya hio miradi iliyo orodheshwa hapo juu do the add uone km inafika 6T.
JF is a home of Great thinkers not vilaza km ww, rudi fb huku umepotea...
I new him than you did! Hakuwa na huo uwezo unaompatia. Alikuwa wa kawaida mno,kuanzia shuleni,chuoni na kwenye utumishi wake. Sema alikuwa mjanjamjanja,muongo,and very manipulative!
 
Hebu niambie hapa Magufuli amejenga hata barabara gani moja tu ya kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine. Barabara MOJA tu aliyokamilisha kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine, just imagine JK amejenga barabara zote za kuunganisha mikoa yote nchi nzima, lakin Magufuli alishindwa kujenga hata barabara moja zilizobaki za Kigoma- Katavi, Tabora- Katavi, Barabara moja tu ndani ya miaka 6 !Acha kudanganya wajinga.. tafuta wajinga wenzako
Kuna barabara ya Musoma - Arusha mpaka leo inasuasua. Wakati wa jK tayari ilishaanzwa kujengwa baada ya hapo hakuna kitu inachechemea
 
Stand kubwa na za kisasa karibu nchi zima masoko makubwa nayakisasa maeneo mengi ya nchi kukamirisha mwendo kasi Barabara nyingi za rami umeme vijijini kwavitendo Kuondoa biashara haramu za madawa yakulevya na viungo vya binadamu albino Kufufua shirika la ndenge atcl madaraja Kama ifakara busisi ambayo haijaisha n.k uadilifu na uwajibikaji makazini elimu bila Ada shule ya msingi na sekondari mikopo na pesa za matumizi chuoni bila blabla na porojo kuhamisha makao makuu dar to dodoma bwawa la nyerere kutokomeza ujangiri wa wanyamapori tembo vifaru kuongezeka kupunguza matumizi mabaya ya fedha(safar za nje n.k) na mengine mengi in 5years
Hizo stand za kisasa na barabara zenye mataa ni pesa za mikopo kutoka world bank ambazo aliacha amesaini JK. Hiyo siyo initiative ya Magu.
 
Hakuna kitu Mkuu zaidi ya Daraja la Mfugale na la Ubungo Mataa. Angalia hata haka kabarabara ka Mwenge -Morocco, ni Km 6 tu alianza Sherehe za Uhuru 2015 mpaka leo bado wanajenga.

Ile ya Kimara- Kibaha njia 8, wamejaza mapipa tu barabarani. Mimi ndiyo maana namuona alikuwa kichaa, anabomoa nyumba za wananchi, hawalipi fidia na babara haimaliziki.
Ubongo mataa interchange ni pesa ya Wajapani,alitafuta Kikwete.q
 
Mimi niko kwenye field ya construction mzee, hakuna mega project yenye wealth kuanzia 300billion above inayoweza kamilika within or less than 5yrs iwe Building or Civil work, yote huwa inaweza chukua above of 5yrs tena with full commitments! Mfano mdogo huyo wa Msoga mradi wake wa Terminal 3 Kipawa wenye wealth around 540billion mbona haukukamilika ndani ya his tenure of 10yrs mpk kuja kukamilika awamu ya 5? Hata iyo Mwendokas tu ilifel ilikuja kuwa handed over 2016!
Kama uko kwenye construction na ukiangalia vizuri project ya Terminal III huwezi kushangaa kwa nini ikichelewa. Instead unapaswa kwanza umpongeze JK kwa kutoa fidia kwa wananchi wa Kipawa na Jet ambao maeneo yao yalichukuliwa.

Yule Mwendawazimu amebomoa nyumba za wakazi wa Kimara- Kibamba na akakataa kuwa compensate pamoja na kwamba walikuwa na court injunction ya Mahakama Kuu.

Kwenye miradi ya ujenzi variation ya kumaliza mkataba mpaka 20% delay siyo weakaness instead ni ku accommodate factors za nature ya force majeure
 
Mengi sana yanasemwa kuhusu mafanikio ya Mwendazake kama vile watangulizi wake hawakufanya lolote. Kimsingi JK amefanya kazi kubwa sana. Kimsingi amefanya hata kazi za awali kwa yale aliyoyakamilisha Mwendazake kama uwanja wa Terminal III, Daraja la Mfugale, Daraja la Kijazi, SGR na barabara za Dar es Salam Metropolitan Project.

Mambo "kiduchu" aliyofanya Jakaya;

1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.

Hayo ni machache ya Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.

Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?

Hivi huyo wanaemtukuza amefanya jambo gani kubwa linalofikia hata robo ya mkubwa aliyoyafanya Kikwete?

Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.

Kubwa zaidi lingine aliwaunganisha watz kwa pamoja bila kujali vyama vyao tofautu na sasa ambapo mpinzan anaonekana kama adui.
Magufuli amefanya makubwa sana zaidi ya hayo ndani ya muda mfupi sana
 
Tz iliwezekana! JPM aliamua kujiongoza kwa ajili ya maslahi mapana ya Tz! Ila miaka 10 ya JK Tz ilikuwa na ombwe la uongozi😡! Ww unajua na yy pia anajua! Miaka 👊 ya JPM Tz ilikuwa na firm and strategic leadership ambayo itaendelea kupigiwa mfano mwema kwa karne kadhaa zijazo😜!
Mzee Ruksa alipokuwa akiongea na wasomi pale UDSM... alitamka kwa sauti kuu "nchi ina ombwe la uongozi..." wiki iliyofuata akaitwa magogoni ndipo alipotamka "...nchi haijapatapo kuwa na rais kama wewe... umetushinda sisi ssooote kwa haya uliyofanya kwa muda mfupi!!" Wenye akili walielewa maana uchaguzi uliofuata tunajua kilichoendelea Zenji
 
Misukuke ni nyie akina Hero ambao bado mnamuabudu DIKTETA tuliyemzika Chato. You can also follow him, but he was ejected by our Almighty God because of his wrongdoings
Pungu kabisa ww 'mtakatifu' ambaye Mungu anaendelea kukuruzuku kúpumua na kuwapaka matope watumishi wa Mungu! Mie siwezi kuwa msukule! Ile ninashaka sana na maisha yako uliyoishi...ya kimsukulesukule ndio maana kila mtu unamtamkia kilichojaza moyo na fuvu lako ' msukule!
JPM unforgettable hero, 💔 rest in eternal peace and power in the name of Might God, amen🙏!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom