Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Legacy ya JK ya kukaa angani zaidi hata ya kuishi nchini ktk kipindi chake huku akiacha mchwa wake utupige haitakuja kupolwa na mtu yeyote wala kusahaurika mkuu usijali😜!Kama yapi Magu aliyoyafanya 75%? Yaorodheshe hapa,wacha kuleta propaganda za kutaka kupora legacy ya JK