Jeshi letu kwa majeshi mengine ni sawa na wanamgambo nashangaa sana CCM inavowaringia.
Sasa hivi vyombo vyote vya ulinzi na usalama wanamlinda Samia,, Abdul na genge lao dogo la wahuni waendelee kuihujumu Tanganyika. Hata CCM imetekwa na hili genge.Amendment ifanyike, isomeke na kuilinda ccm.
Cyber attack umeenda mbali uko kote, mfano sasa hivi, jeshi limekula roba ya mbao, wanajeshi wanavalishwa sare za chama, helikopta na mabasi yanaenda kufanya shughuli za chama, wanasukuma mabegi ya waarabu airport…Jeshi limebakwa, chaliiiiii, ndo maana wameenda kule Congo, taarifa zote zao siri, Kagame alishazipata, wakadakwa kama Balale….Jeshi letu kwa majeshi mengine ni sawa na wanamgambo nashangaa sana CCM inavowaringia.
Nchi yetu haijawahi kupata serious Cyber attack kwenye critical infrastructure, ikitokea ndio watajua hatuna jeshi la maana
Atokee mtu a hack grid ya Taifa au mifumo yote ya B.o.T au afanye kitu visibleCyber attack umeenda mbali uko kote, mfano sasa hivi, jeshi limekula roba ya mbao, wanajeshi wanavalishwa sare za chama, helikopta na mabasi yanaenda kufanya shughuli za chama, wanasukuma mabegi ya waarabu airport…Jeshi limebakwa, chaliiiiii, ndo maana wameenda kule Congo, taarifa zote zao siri, Kagame alishazipata, wakadakwa kama Balale….
Huwezi vitendea kazi vyenu mkanunuliwa na kusambaziwa na raia, yaani jeshi limebaki kuwa ni wakufanya usafi na kupiga gwaride, heshima yote imepotea. Shame on them
I second on this oneTAR 29 NI KUPIGA KURA WAO WATAKUWA WANAFANYA USAFI.TAKE IT