Dira 2050: Ushirikiano na Urusi

Dira 2050: Ushirikiano na Urusi

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
509
Reaction score
489
IMG-20260603-WA0111(1).jpg

Dira ya Maendeleo 2050 inahitaji rasilimali, teknolojia na ushirikiano wa kimataifa wa hali ya juu. Urusi ina uwezo wa kutoa mchango mkubwa katika kufanikisha Dira hii. Ziara ya Rais Samia inalenga kuhakikisha ushirikiano huu unabeba matokeo ya kweli yanayofika kwa Watanzania wote. #SamiaKaziniUrusi
Tanzania Inasonga Mbele
 
Back
Top Bottom