battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,672
- 2,540
Mzee muhammed said Hongera kwa kuweka mambo ya historia bayana.
Watu wema na wenye nia safi watafurahia,
lakini wengi wenye nia ovu wanaochukia histori ya kweli,
wanachukia kuona wazee wetu hawa wenye Vubarakhashia kwa jinsi walivyojitolea kuutafuta uhuru wa nchi hii ,
Na hatimae wengi wao baada ya uhuru walitupwa nje ya siasa na hata kutajwa kwenye historia ya uhuru wa nchi hii.
Wengine kupewa bahshish ya viwanja kariakoo na magomeni.
lakini kwenye Serikali walitengwa na udini ukachukua mkondo wake.
Hadi leo Nafasi ya uwakilishi kwa watu wetu wa aina hii ya vibalaghashia imekuwa teteserikalini na kwenye taasisi za umma
Watu wema na wenye nia safi watafurahia,
lakini wengi wenye nia ovu wanaochukia histori ya kweli,
wanachukia kuona wazee wetu hawa wenye Vubarakhashia kwa jinsi walivyojitolea kuutafuta uhuru wa nchi hii ,
Na hatimae wengi wao baada ya uhuru walitupwa nje ya siasa na hata kutajwa kwenye historia ya uhuru wa nchi hii.
Wengine kupewa bahshish ya viwanja kariakoo na magomeni.
lakini kwenye Serikali walitengwa na udini ukachukua mkondo wake.
Hadi leo Nafasi ya uwakilishi kwa watu wetu wa aina hii ya vibalaghashia imekuwa teteserikalini na kwenye taasisi za umma