akilinene
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 514
- 433
Makamanda, tukubali ukweli kuwa pamoja na wito wa kuandamana kutolewa mara nyingi na viongozi wa CHADEMA, hakuna iliyofanikiwa. Tunajilisha upepo kufikiri kuwa tarehe 5 Agosti itakuwa tofauti.
Ni muhimu sasa tuwaambie viongozi wa CHADEMA waachane na mkakati huu ambao siku zote unashindwa. Kwanza viongozi wenywe hawaoneshi mfano.
Tumeanza kusikia Mwenyekiti wa BAVICHA akitangaza kuwa "Watakaoandamana watapigwa na IGP" ina maana yeye tayari ameshajitoa. Kwa mazingira haya tusitegemee kuona yeyote anaandamana. Hakuna miujiza.
Tuendelea kutumia key boards zetu.
Ni muhimu sasa tuwaambie viongozi wa CHADEMA waachane na mkakati huu ambao siku zote unashindwa. Kwanza viongozi wenywe hawaoneshi mfano.
Tumeanza kusikia Mwenyekiti wa BAVICHA akitangaza kuwa "Watakaoandamana watapigwa na IGP" ina maana yeye tayari ameshajitoa. Kwa mazingira haya tusitegemee kuona yeyote anaandamana. Hakuna miujiza.
Tuendelea kutumia key boards zetu.