jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
How can u fight mafisadi ukiwa mtoni? rudi rudi acha hasira za pweza. Kuosha masufuria sio profession maliza kusoma ili uje kwa pamoja tupambane na mafisadi lakini kwa sasa huna jipya siendi popote niko nyumbani hata kama ni maskini lakini sijakimbia matatizo ya nyumbani kama wewe., Kukimbia matatizo sio suluhisho la kudumu
Mimi nasoma na sioshi masufuria!
Nilifanya hivyo nilipokuwa London!
At least part time huku nikijisomesha! NAPAMBANA!
Lakini haina maana hata kama nina something then siwezi kuwafikiria wananchi!
I was born like that and whether i have money,good job or not i still sympathise with my fellow countrymen and women who die for hunger and starvation together with preventable diseases!
Sasa unataka kutugawa watanzania kwamba wengine wako Ulaya na wengine Tz?
Kama ulivyojaribu kwa wasukuma na wazaramo...Ulivyojaribu kwa watu wa Dar es Salam na wa Mara?
There's always something that will bring us together...And the issue is YOU and Ufisadi in general!
Kati ya hizi thread ni ipi imeku hudhi ili niitoe?
1)"Mafisadi wakamatwe-Wasiruhusiwe kuligawa Taifa"
2)Sheria ya kumkamata Balali hii hapa
3)CCM ifanyiwe marekebisho?
4)JK na AU vs Taifa
5)Countdown Kamati ya madini!
Hizo hapo juu nileleze ipi bana niiondoe tusije kutoana macho bure!