Tukubali tu: Sisi wajinga... (I know, it hurts)

Kuna kitu kimebadilika?
Nop!! Bado tunapambana kutafuta wafadhili watakaoleta wawekezaji wageni wenye hela za kuwalipa wakandarasi wageni ili watusaidie kuchimba mitaro ya maji taka kwa mkopo tulioomba ugenini,hilo likifanikiwa tutapiga hatua kubwa,kwani mafundi wa kigeni watakuja na kutupa kazi ya kuchimba mitaro na kufukia mabomba,mungu atupe nini tena?
 
Kinachoniuma mm zaidi si ujinga wetu tu kwa sasa bali ni fact iliyopo kwamba ujinga utaendelea for centuries mpaka basi kwani hakuna juhudi zinazofanyika kuuondoa huo ujinga. Unlike other countries ambako uchumi ndio unaoendesha siasa hapa kwetu siasa ndizo zinazoendesha uchumi. So kila kitu kiinakuwa treated kisiasa. It's fun kwamba unachosikia toka kwa gavana ni completely different na utakachokisikia toka kwa waziri wake.I don't know ila inauma sana sana huko kwenye madini ndio usitake hata kusikia.
Yaani mnapewa mkopo toka je halafu pesa yote inarudi nje kupitia makontŕactà wa nje na wananunua vifaa toka nje mwisho wa siku mnarudisha mkopo na riba huko nje!! Halafu huu ni utaratibu wa kudumu!! Huu ujinga na upumbavu utaendelea hi j mpaka lini?
 
Miaka 13 iliyopita bado tuko palepale. Na hoja zenu zinanguvu sana sana.

Hii ni aibu kubwa sana kwa watawala hasa CCM.

#UziUrudiwe
 
Back
Top Bottom