Tukubali kuendelea kuuawa na majanjawidi wa CCM kama kuku au tujitetee?

Tukubali kuendelea kuuawa na majanjawidi wa CCM kama kuku au tujitetee?

Criss

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
1,944
Reaction score
3,090
Kuanzia siku ya uchaguzi hadi leo Taifa limekumbwa na taharuki kuu kwenye eneo la kiusalama .

Hakuna kinachoumiza moyo kama raia kupigwa na risasi walizozinunua kwa Kodi zao wenyewe ,haukuna kinachoumiza moyo kama raia kuanza kuishi kwa mashaka kwenye Taifa lao.

Siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi kumekuwelo na matukio yasiyo na afya kwenye Taifa letu kwa watu wasiyojulikana kutembea na gari kisha kuua makundi ya vijana na kisha kwenda kuwatupa kusikojulikana tunajiuliza haya yanafanywa na nani ?

Kwa faida ya nani?

Tumefikaje hapa?

Nini hatima ya hali husika?

Raia wataendelea kuuwawa kwa siraha za moto na watu wasiyojulikana hadi lini?

ndiyo maana tunaulizana ,tuendelee kukubali kuuwawa au nasisi tuanze kutafuta njia mbadala zakujilinda sambamba na kuanza kulipa visasi kwa uovu tunayotendewa na serikali yetu?

Serikali isifikie hatua ya kutuona watanzania kama wajinga tusiyojitambua , uvumilivu wetu unatokana na mapenzi mema kwa Taifa letu na siyo ujinga .

Haya yanayotokea nihatari sana kwa musktakabali wa Taifa letu , maadui wanaweza kuutumia huu mwanaya kwa kutuingizia siraha kisha tuanze kuuana wenyewe kwa wenyewe ,je! tumejiandaa kukabiliana na hiyo hatua ?

Mauaji holela yanatoboa sana mioyoni yetu ,isifikie mahali tukalazimishana kuzalisha mioyoni ya visasi .
 
Mko tayari? Mmeacha kuogopa kufa? If yes, we need turnover ya 10m kuelekea Dodoma, hii itakuwa mother of demonstrations ambayo itakuwa na lengo moja, kumuondoa Nduli Mama nchini, Waganda hawa tushindi, huyu mtu sisi wenyewe tuna mlea.

Pili tuna vijana wetu wa JKT, Kampuni za ulinzi, tuna weza organize kama mil1 wakawa Frontline kutu support kwenye hii Safari ya kwenda Dodoma.

Tatu, tunaweza kuvamia ubalozi wa Uganda Tz au kuanza kuwa tafuta waganda hapa Tz na kulipa kisasi, ujue mseven anafikiri ni mtu smart kumbe ni mtu bure alie pigana vita kitambo.

Let us decides before it is too late.
 
Mko tayari? Mmeacha kuogopa kufa? If yes, we need turnover ya 10m kuelekea Dodoma, hii itakuwa mother of demonstrations ambayo itakuwa na lengo moja, kumuondoa Nduli Mama nchini, Waganda hawa tushindi, huyu mtu sisi wenyewe tuna mlea.

Pili tuna vijana wetu wa JKT, Kampuni za ulinzi, tuna weza organize kama mil1 wakawa Frontline kutu support kwenye hii Safari ya kwenda Dodoma.

Tatu, tunaweza kuvamia ubalozi wa Uganda Tz au kuanza kuwa tafuta waganda hapa Tz na kulipa kisasi, ujue mseven anafikiri ni mtu smart kumbe ni mtu bure alie pigana vita kitambo.

Let us decides before it is too late.
Well said, hili la kuua waganda nalo ni zuri sana waganda waliotuvamia, lakini hili la kampuni za ulinzi kutupa silaha nalo ni zuri zaidi , binafsi Niko tayari kuingia msituni kuwindana na Hawa wauaji.. enough is enough!!
 
Kuanzia siku ya uchaguzi hadi leo Taifa limekumbwa na taharuki kuu kwenye eneo la kiusalama .

Hakuna kinachoumiza moyo kama raia kupigwa na risasi walizozinunua kwa Kodi zao wenyewe ,haukuna kinachoumiza moyo kama raia kuanza kuishi kwa mashaka kwenye Taifa lao.

Siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi kumekuwelo na matukio yasiyo na afya kwenye Taifa letu kwa watu wasiyojulikana kutembea na gari kisha kuua makundi ya vijana na kisha kwenda kuwatupa kusikojulikana tunajiuliza haya yanafanywa na nani ?

Kwa faida ya nani?

Tumefikaje hapa?

Nini hatima ya hali husika?

Raia wataendelea kuuwawa kwa siraha za moto na watu wasiyojulikana hadi lini?

ndiyo maana tunaulizana ,tuendelee kukubali kuuwawa au nasisi tuanze kutafuta njia mbadala zakujilinda sambamba na kuanza kulipa visasi kwa uovu tunayotendewa na serikali yetu?

Serikali isifikie hatua ya kutuona watanzania kama wajinga tusiyojitambua , uvumilivu wetu unatokana na mapenzi mema kwa Taifa letu na siyo ujinga .

Haya yanayotokea nihatari sana kwa musktakabali wa Taifa letu , maadui wanaweza kuutumia huu mwanaya kwa kutuingizia siraha kisha tuanze kuuana wenyewe kwa wenyewe ,je! tumejiandaa kukabiliana na hiyo hatua ?

Mauaji holela yanatoboa sana mioyoni yetu ,isifikie mahali tukalazimishana kuzalisha mioyoni ya visasi .
All we need ni access ya silaha sisi kama wananchi nakuanza uasi tu maaamae!!..hili halipaswi kupitia bila kufanyiwa malipizi
 
Mko tayari? Mmeacha kuogopa kufa? If yes, we need turnover ya 10m kuelekea Dodoma, hii itakuwa mother of demonstrations ambayo itakuwa na lengo moja, kumuondoa Nduli Mama nchini, Waganda hawa tushindi, huyu mtu sisi wenyewe tuna mlea.

Pili tuna vijana wetu wa JKT, Kampuni za ulinzi, tuna weza organize kama mil1 wakawa Frontline kutu support kwenye hii Safari ya kwenda Dodoma.

Tatu, tunaweza kuvamia ubalozi wa Uganda Tz au kuanza kuwa tafuta waganda hapa Tz na kulipa kisasi, ujue mseven anafikiri ni mtu smart kumbe ni mtu bure alie pigana vita kitambo.

Let us decides before it is too late.

Nakuunga mkono kwa aslimia nyingi. Lakini la kuwafanyia vibaya waganga si sawa. Manake Kuna watanzania wapo Uganda, tutawaweka kwenye hatari. Pili, kwa jamii ya kimataifa tutaonekana wajinga sana kuvamia balozi ya nchi nyengine-balozi ni sehemu sensitive sana.

Sisi raia kwa pamoja tuji organize. Tufanye maandamano ya amani makubwa haijawai kutokea Africa. Tukipata watu kuanzia 500k hadi million moja tutakuwa sehemu nzuri sana.

Nawasilisha
 
Weeeh!

Bado tunayo fursa ya kumshinda huyu mwanamke form 4 failure bila hata silaha. Tuwe wengi. One million, tunamtoa.
Mobilization inatakiwa ianze, lakini pia lazima tuwe na silaha za kujihami, huku tukiteketeza ikulu kwa moto, in two hours kama tume kaza huyu mama na mataifa ya nje wata tusupport kumtoa.

Tunahitaji watu wengi wajitokeze.
 
Mko tayari? Mmeacha kuogopa kufa? If yes, we need turnover ya 10m kuelekea Dodoma, hii itakuwa mother of demonstrations ambayo itakuwa na lengo moja, kumuondoa Nduli Mama nchini, Waganda hawa tushindi, huyu mtu sisi wenyewe tuna mlea.

Pili tuna vijana wetu wa JKT, Kampuni za ulinzi, tuna weza organize kama mil1 wakawa Frontline kutu support kwenye hii Safari ya kwenda Dodoma.

Tatu, tunaweza kuvamia ubalozi wa Uganda Tz au kuanza kuwa tafuta waganda hapa Tz na kulipa kisasi, ujue mseven anafikiri ni mtu smart kumbe ni mtu bure alie pigana vita kitambo.

Let us decides before it is too late.
Mkuu umeongea kimedani sana , naungankono hoja .

Huu upuuzi unapaswa ufike mwisho aisee vinginevyo hivi vilio nakulalamika kama machoko hakutatusaidia kitu .

Hii biashara ya kuvalishana uwoga kitoto ifike mahali tuikatae kwa sauti ya pamoja .

Huyu Maza anajazwa ujinga nawapuuzi wenzake kuwa dawa nikutandaza chuma , raia wakikutana na sauti ya mitutu wataufyata bila kujua ndiyo kwanza atafungua ukurasa mwingine wa watu wazima kuingia front kiume.
 
Mobilization inatakiwa ianze, lakini pia lazima tuwe na silaha za kujihami, huku tukiteketeza ikulu kwa moto, in two hours kama tume kaza huyu mama na mataifa ya nje wata tusupport kumtoa.

Tunahitaji watu wengi wajitokeze.
Tunapaswa tutangaze maandamano makubwa yakitaifa haraka sana ili tuweze kumalizana na hawa kunguru

bila hivyo tutapoteza nguvu kazi ya Taifa kizembe sana .
 
Kuanzia siku ya uchaguzi hadi leo Taifa limekumbwa na taharuki kuu kwenye eneo la kiusalama .

Hakuna kinachoumiza moyo kama raia kupigwa na risasi walizozinunua kwa Kodi zao wenyewe ,haukuna kinachoumiza moyo kama raia kuanza kuishi kwa mashaka kwenye Taifa lao.

Siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi kumekuwelo na matukio yasiyo na afya kwenye Taifa letu kwa watu wasiyojulikana kutembea na gari kisha kuua makundi ya vijana na kisha kwenda kuwatupa kusikojulikana tunajiuliza haya yanafanywa na nani ?

Kwa faida ya nani?

Tumefikaje hapa?

Nini hatima ya hali husika?

Raia wataendelea kuuwawa kwa siraha za moto na watu wasiyojulikana hadi lini?

ndiyo maana tunaulizana ,tuendelee kukubali kuuwawa au nasisi tuanze kutafuta njia mbadala zakujilinda sambamba na kuanza kulipa visasi kwa uovu tunayotendewa na serikali yetu?

Serikali isifikie hatua ya kutuona watanzania kama wajinga tusiyojitambua , uvumilivu wetu unatokana na mapenzi mema kwa Taifa letu na siyo ujinga .

Haya yanayotokea nihatari sana kwa musktakabali wa Taifa letu , maadui wanaweza kuutumia huu mwanaya kwa kutuingizia siraha kisha tuanze kuuana wenyewe kwa wenyewe ,je! tumejiandaa kukabiliana na hiyo hatua ?

Mauaji holela yanatoboa sana mioyoni yetu ,isifikie mahali tukalazimishana kuzalisha mioyoni ya visasi .
I believe in fighting back!

Ni upumbavu kukubali kupigwa kinyonge nyonge.

Even if I get my ass whupped, I’m gonna make you work for it and I’ll also get a few licks of my own.
 
Mko tayari? Mmeacha kuogopa kufa? If yes, we need turnover ya 10m kuelekea Dodoma, hii itakuwa mother of demonstrations ambayo itakuwa na lengo moja, kumuondoa Nduli Mama nchini, Waganda hawa tushindi, huyu mtu sisi wenyewe tuna mlea.

Pili tuna vijana wetu wa JKT, Kampuni za ulinzi, tuna weza organize kama mil1 wakawa Frontline kutu support kwenye hii Safari ya kwenda Dodoma.

Tatu, tunaweza kuvamia ubalozi wa Uganda Tz au kuanza kuwa tafuta waganda hapa Tz na kulipa kisasi, ujue mseven anafikiri ni mtu smart kumbe ni mtu bure alie pigana vita kitambo.

Let us decides before it is too late.
Yes, this is the warrior mentality that I vibe with!

Naamini katika idadi ya watu.

Tukiwa na mkakati wa ku flood the zone, Samia tunamtoa kwa siku moja tu.

Hakuna jeshi, polisi, wala mamluki wenye uwezo wa kuzuia nyomi ya hata watu laki tano tu.

Imagine mtu laki 5 zina descend hapo sijui ndo ikulu ya Dodoma.

Nani ataizuia?

Ndiyo, watakuwepo wataoumia. Lakini guess what? Hata mamluki na polisi wataumia vilevile.

Tatizo ni kupata idadi inayohitajika ya watu.

Tupate hata nusu tu ya watu wa Tahrir Square and it’s game over.
 
Yes, this is the warrior mentality that I vibe with!

Naamini katika idadi ya watu.

Tukiwa na mkakati wa ku flood the zone, Samia tunamtoa kwa siku moja tu.

Hakuna jeshi, polisi, wala mamluki wenye uwezo wa kuzuia nyomi ya hata watu laki tano tu.

Imagine mtu laki 5 zina descend hapo sijui ndo ikulu ya Dodoma.

Nani ataizuia?

Ndiyo, watakuwepo wataoumia. Lakini guess what? Hata mamluki na polisi wataumia vilevile.

Tatizo ni kupata idadi inayohitajika ya watu.

Tupate hata nusu tu ya watu wa Tahrir Square and it’s game over.
Hiyo ndiyo ilifanya jamaa wahakikishe wanawakamata viongozi wote wa vyama vyenye ushawishi mkubwa na kuwafungia maana walijua kitendo cha kuwaacha uraiani wangeliweza kuanzisha maandamano makubwa na hivyo kuwatingishia meza .

Labda kwa kushirikiana na Mchungaji Gwajima kwa kupitia idadi ya washirika wake plus raia wengine 500k siyo idadi itakayomshinda kuipata .
 
All we need ni access ya silaha sisi kama wananchi nakuanza uasi tu maaamae!!..hili halipaswi kupitia bila kufanyiwa malipizi
Ili ndo linakosekana, ikipatikana access ya silaha kwa wananchi… CCM watapiga magoti…na mm siwezi kulaumu ili likitokea maana kwa ukatili unaotendeka sasa, hata shetani anashangaa. People are brutally massacred and they don’t get a proper burial…These actions are unforgivable.
 
Hiyo ndiyo ilifanya jamaa wahakikishe wanawakamata viongozi wote wa vyama vyenye ushawishi mkubwa na kuwafungia maana walijua kitendo cha kuwaacha uraiani wangeliweza kuanzisha maandamano makubwa na hivyo kuwatingishia meza .

Labda kwa kushirikiana na Mchungaji Gwajima kwa kupitia idadi ya washirika wake plus raia wengine 500k siyo idadi itakayomshinda kuipata .
Maandamano makubwa yatokee leo, tutoke na vipaza sauti, TCRA wana filter information kwahiyo cha kwanza ni kuchoma moto TCRA na kuandamana wengi kwa pamoja.
Viongozi wa upinzani waliopo nje ya Gereza wana tosha kuhamasisha maandamano, tujitume, hakuna mtu anaweza kuja kuwa kombolea nchi yenu, ni sisi wenyewe. Tuna hitaji turn over kubwa.

Pia mikoani waendelee ku targets sehemu muhimu za biashara na majengo ya ccm na viongozi wao.
 
Hiyo ndiyo ilifanya jamaa wahakikishe wanawakamata viongozi wote wa vyama vyenye ushawishi mkubwa na kuwafungia maana walijua kitendo cha kuwaacha uraiani wangeliweza kuanzisha maandamano makubwa na hivyo kuwatingishia meza .

Labda kwa kushirikiana na Mchungaji Gwajima kwa kupitia idadi ya washirika wake plus raia wengine 500k siyo idadi itakayomshinda kuipata .
Mkuu kwenye idadi ya watu ondoeni wasiwasi tena. Sasa hivi kilichobaki mitandao iwashwe tupage mtu mmoja kama Gwajiboy au Heche atangaze maandamano ya ghafla yaani akitangaza kesho yake tunaingia road.

Kwa sasa watanzania kuhusu maandamano hawagopi tena. Shida Tumepoteza imani kwa majeshi yote si ajabu jwtz wakaja front kutuua kabisa hawafai tena hawa jamaa
 
Maandamano makubwa yatokee leo, tutoke na vipaza sauti, TCRA wana filter information kwahiyo cha kwanza ni kuchoma moto TCRA na kuandamana wengi kwa pamoja.
Viongozi wa upinzani waliopo nje ya Gereza wana tosha kuhamasisha maandamano, tujitume, hakuna mtu anaweza kuja kuwa kombolea nchi yenu, ni sisi wenyewe. Tuna hitaji turn over kubwa.

Pia mikoani waendelee ku targets sehemu muhimu za biashara na majengo ya ccm na viongozi wao.
Lakini mkuu Mimi nawewe sinimakeyboard warriors tu ,huku kwa wazungu ndiyo tutafanya nini chakusaidia nyumbani ?

Au tunahamasisha watu ambao waliyonyimwa hata access ya kuingia mitandaoni?
 
Naona ule muda wakufanya biashara ya siraha ndiyo huu ,ishakuwa ufala sasa dah!
 
Lakini mkuu Mimi nawewe sinimakeyboard warriors tu ,huku kwa wazungu ndiyo tutafanya nini chakusaidia nyumbani ?

Au tunahamasisha watu ambao waliyonyimwa hata access ya kuingia mitandaoni?
Mimi nipo Tanzania, VPN and ndo zimetawala. Hiki kipindi kina uzuri na ubaya wake, mobilization bado itafanyika but we need mechanically communication, wana tu track. Ndio maana nikasema upinzani kwa kuwa wako na base ya wafuasi wao bado wanaweza kusaidia kuwasiliana haraka na kuwaandaa watu.
 
Back
Top Bottom