Wanajukwaa hoyeee.
Leo nimeona niizungumzie hii kauli mbiu ambayo imekuwa ikisikikasikika kwenye makusanyiko mbalimbali.
Kiukweli tunajua kwamba pande hizi mbili zinategemeana katika kuleta maendeleo ie mwanaume na mwanamke hivyo supporting each other iz something dat's good.
Ila pamoja na hayo nafikiri wanawake ni jeshi kubwa hivyo kusema tu WANAWAKE TUNAWEZA inatosha.
Leo nimeona niizungumzie hii kauli mbiu ambayo imekuwa ikisikikasikika kwenye makusanyiko mbalimbali.
Kiukweli tunajua kwamba pande hizi mbili zinategemeana katika kuleta maendeleo ie mwanaume na mwanamke hivyo supporting each other iz something dat's good.
Ila pamoja na hayo nafikiri wanawake ni jeshi kubwa hivyo kusema tu WANAWAKE TUNAWEZA inatosha.