Uchaguzi 2020 Tukiwanyima CCM kura tutaingia kwenye kitabu cha Historia ya Ukombozi

Tunawasoma watu maarufu waliopingana na uonevu wa wakoloni wakatuletea ukumbozi. Waliofanya hayo walianza kwenye sanduku la kura 1958 na 1961 wakaingia ikulu na mzungu akafungasha virago...
No kweli historia ya kuuza nchi kwa "mabeberu" usifanye mchezo Mwenyekiti wa Maisha alivyowekeza, hela yake lazima irudi na faida juu
 
Umeona nyomi za Lisu kote anakopita mpk kwa dada zake na jiwe (a.k.a nyoko) mfano Chato, Lamadi, Bariadi,. Simiyu, Mwanza, n.k.

Hii Ni ishara kwamba huyu nyoko hastahili heshima. Amelinajisi taifa.
Ok sasa subiri watanzania watakavyofanya tarehe 28, hapo ndipo utagundua kweli kachumbari si mboga kabisa...ila usikimbie..happ ndipo utajua true color ya watanzania wewe.
 
Kuanzia uchaguzi wa 2010, 2015 zote ccm ilipigwa chini kwa nafasi ya Urais. Kwa chaguzi hizo wagombea wa chadema system haikuwa tayar kuwapa nchi.

Mwaka huu atakaeshinda atatangazwa.
 
Tunawasoma watu maarufu waliopingana na uonevu wa wakoloni wakatuletea ukumbozi. Waliofanya hayo walianza kwenye sanduku la kura 1958 na 1961 wakaingia ikulu na mzungu akafungasha virago.

Toka 1961 Hadi leo kwanini tunawakumbuka na kuwashukuru? Ni kwa sababu watu waliamua kutotawaliwa, kuminywa haki zao na mateso mbalimbali

Leo 2020 tunapaswa kuandika historia tuwaachie watoto wetu historia, tufanye maamuzi ya kuifuta ccm tuanze upya maisha yetu.

Uchaguzi Ni fursa ya ajira kwa wasio na ajira, Ni fursa ya biashara na fursa yakutengeneza watu wapya tunaoweza kuwasimamia. Leo chama Tawala hakifanyi kampeni kwa juhudi na ratiba ya tume kwa sababu hawaoni umuhimu wetu.

Kama hawaoni umuhimu wetu sisi tunawaonaje wa muhimu kwetu? Wapo waliofadhili kampeni 2015 wapo segerea bila kesi kusikilizwa, wapo watumishi wa Umma walikua ccm kindakindaki wapo benchi na pressure juu. Tunapaswa kuchagua utawala wa sheria.

Tuamue bila kujali chama tujali Uhuru wetu wakujitawala.

Mzee baba alieadhalilisha sana watu hawa
Nape nauye
Huyu mtu amepigania sana chama lakini ametupwa mtama kama dustbin

Mzee kinana pamoja na kukijenga chama lakini anaonekana kama skrepa

Mzee kikwete katika utawala huu ameshushwa sana dhamani kama hakufanya kitu chochote kile na akaonekana wa hivyo hovyo kabisa

Mzee makamba senior na junior nao wanaonekana takataka

Niwasihi sana wazee hawa Tundu lissu hawezi kuwa na nia mbaya na hii nchi yetu nanyi mnajua ila bado ninyi mtakuwa washauri wake wakubwa kwa mambo ya ki diplomasia ili kuitengeneza hii nchi. Hivi kweli msiba wa kuwatukana viongozi wa nchi alafu hachukuliwi hatua? Utu wetu upo wapi?


Freedom,justice and development of the people
Uhuru, haki na maendeleo ya watu.

Nimegundua utumwa ukiota mizizi mwisho watumwa wanakuwa mazezeta.

Ukimsikiliza lisu hatoi ahadi yeyote ile
Anataka watu wayafanye wenyewe yaani wawe na Total freedom of choice

Serikali ya Majimbo
Ili wawe na maamuzi kamili na mpango mkakati wao.

Na anapita katika ile rasimu ya katiba ya warioba ili kuleta mawazo ya wananchi waliyoyataka.
 
Ok sasa subiri watanzania watakavyofanya tarehe 28, hapo ndipo utagundua kweli kachumbari si mboga kabisa...ila usikimbie..happ ndipo utajua true color ya watanzania wewe.
Basi nawe jiandaye. Kwasabb jiwe wamempania Sana. Alitoaga maneno ya shombo kwamba ooh "mimi ni rais ninayejiamini". Msikilize hapa.
 
KANU kule Kenya walikuwa na mawazo mganndo kama wewe. Leo hii haipo kwenye ramani ya dunia.
Hahah siasa mchezo mdjddjsfu, ata ikiingia upinzani itakuwa ni ile ilee CMCM, Kenya is a good example, go do ur research well mkuu😂
 
Back
Top Bottom