Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
‎Mambo matano tunapokuwa kwenye mtihani
1.Tunarudia kusoma maswali tukidhani majibu yatatoka kwenye yale maswali
2. Kuangalia kila upande wa darasa ili kujua kama wanafunzi wenzako wanahangaika kama wewe.
3.Lazima utaanza ufanya marking kwa yale maswali ambayo ni magumu au marahisi
4.Halafu ukiona maswali ni magumu au marahisi ndo unaanza kuamua cha kufanya
5.Kama maswali yalikuwa magumu hivi ndo macho yetu yanavyohangaika darasani: (←_← (→_→(←_←(→_→
Ile tu mwalimu akiingia gafla macho yanakuwa hivi: (↓_ ↓
Mwalimu akitoka kidogo: (←_← (→_→
2. Kuangalia kila upande wa darasa ili kujua kama wanafunzi wenzako wanahangaika kama wewe.
3.Lazima utaanza ufanya marking kwa yale maswali ambayo ni magumu au marahisi
4.Halafu ukiona maswali ni magumu au marahisi ndo unaanza kuamua cha kufanya
5.Kama maswali yalikuwa magumu hivi ndo macho yetu yanavyohangaika darasani: (←_← (→_→(←_←(→_→
Ile tu mwalimu akiingia gafla macho yanakuwa hivi: (↓_ ↓
Mwalimu akitoka kidogo: (←_← (→_→