Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,342
- 283,376
- Thread starter
- #61
Safari hii hawatoboi, Wallah Wabhillah!NI Giza Tena Kama lile la mwana chato Ila tutashinda.
Safari hii hawatoboi, Wallah Wabhillah!NI Giza Tena Kama lile la mwana chato Ila tutashinda.
🔥Safari hii hawatoboi, Wallah Wabhillah!
Shika Hilo neno
Hakika CCM imekwisha, na imekwisha kwelikweli.Hii ni kauli ya kiungwana iliyotolewa na Mwenyekiti wa zamani wa ccm aliyekuwa pia Rais wa Tanzania , Jakaya Kikwete .
Ilikuwa ni katika vikao vya chama chake , pale alipokuwa anawaelekeza wanaccm wenzake kujibu tuhuma za wapinzani kwa njia ya majukwaa ya kisiasa badala ya kutumia polisi , tuhuma ya kisiasa ijibiwe kisiasa badala ya kutumia polisi .
Ushahidi wa hivi karibuni uliotokea nchini Gambia unaonyesha kwamba kauli ile ya Profesa Kikwete ilikuwa sahihi kwa 100%.
Mytake - Uungwana ni vitendo .
View attachment 1829666
Leo mkutano wapi Erythrocyte ?Shika Hilo neno
Mbaya zaidi imekufa kibwege sanaHakika CCM imekwisha, na imekwisha kwelikweli.
Inasubiriwa tu kutangazwa kuwa marehemu CCM atazikwa wapi na lini.
Tuko mkoa wa katavi tangu asubuhiLeo mkutano wapi Erythrocyte ?
Umesikia tamko la wizara ya Mambo ya ndani?Tuko mkoa wa katavi tangu asubuhi
Tamko ni batili na limetukuta Jukwaani tukipiga spanaUmesikia tamko la wizara ya Mambo ya ndani?