Tukitegemea polisi tutashindwa - Kikwete

Tukitegemea polisi tutashindwa - Kikwete

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,167
Reaction score
282,910
Hii ni kauli ya kiungwana iliyotolewa na Mwenyekiti wa zamani wa ccm aliyekuwa pia Rais wa Tanzania , Jakaya Kikwete .

Ilikuwa ni katika vikao vya chama chake , pale alipokuwa anawaelekeza wanaccm wenzake kujibu tuhuma za wapinzani kwa njia ya majukwaa ya kisiasa badala ya kutumia polisi , tuhuma ya kisiasa ijibiwe kisiasa badala ya kutumia polisi .

Ushahidi wa hivi karibuni uliotokea nchini Gambia unaonyesha kwamba kauli ile ya Profesa Kikwete ilikuwa sahihi kwa 100%.

Mytake - Uungwana ni vitendo .

FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Hiyo kauli ilitolewa lini,,? Na tangu hapo imeleya matokeo gani?

Ruksa kujifariji lkn
 
Hii ni kauli ya kiungwana iliyotolewa na Mwenyekiti wa zamani wa ccm aliyekuwa pia Rais wa Tanzania , Jakaya Kikwete .

Ilikuwa ni katika vikao vya chama chake , pale alipokuwa anawaelekeza wanaccm wenzake kujibu tuhuma za wapinzani kwa njia ya majukwaa ya kisiasa badala ya kutumia polisi , tuhuma ya kisiasa ijibiwe kisiasa badala ya kutumia polisi .

Ushahidi wa hivi karibuni uliotokea nchini Gambia unaonyesha kwamba kauli ile ya Profesa Kikwete ilikuwa sahihi kwa 100%.

Mytake - Uungwana ni vitendo .
Kama unaamini ulichoandika basi ni vyema CCM iendelee hivi ili wapinzani washinde.
 
Sasa mleta mada mbona kama unavuruga habari...!


Jk aliongea kwenge mkutano wa CCM hapa Tz..mfano wako na matokeo yake vimetokea Gambia...


Habari yako haina cohesion!

Kairudie mkuu
 
Sasa mleta mada mbona kama unavuruga habari...!


Jk aliongea kwenge mkutano wa CCM hapa Tz..mfano wako na matokeo yake vimetokea Gambia...


Habari yako haina cohesion!

Kairudie mkuu
Hujanielewa mkuu .
 
Well said. Mkuu wa majeshi Gambia alisema "wanajeshi wa ECOWAS wakifika tutawakaribisha na kuwapatia chai.Mambo ya kisiasa humalizwa kisiasa".

Hapa kwetu mmmh!!!
 
Naona huyu jamaa ndo stahili yake anayotumia kuwashughulikia wapinzani
 
Daah ila nimemmic sana kikwete. Japokuwa alininyima mkopo kusoma chuo kikuu mwaka 2011.. lakini nammis sana.
 
Sasa mleta mada mbona kama unavuruga habari...!


Jk aliongea kwenge mkutano wa CCM hapa Tz..mfano wako na matokeo yake vimetokea Gambia...


Habari yako haina cohesion!

Kairudie mkuu
ungekuwa unafahamu historia ya gambia bwana yahya jammeh alivyowafanya wapinzani ungemuelewa,
 
Katoa kauli hio baada ya kuondoka kwenye kiti cha urais?[emoji15] Huyu huyu alisema majeshi watachukua nchi, mnafiki sana huyu mzee.


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom