Tukitegemea polisi tutashindwa - Kikwete

Tukitegemea polisi tutashindwa - Kikwete

Hata hili la kumtumia lipumba kushirikiana na polisi litashindikana tu .
 
Humphrey Polepole , umesikia kauli hii ya Kikwete ? Baada ya kushindwa kupambana na Zitto kwa hoja unataka Zitto akamatwe ! ili iweje ?
 
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Baada ya kustuka , japo kwa kuchelewa CCM sasa inataka Jeshi la Polisi lichunguzwe baada ya Wananchi kutokuwa na imani nalo
 
Baada ya kustuka , japo kwa kuchelewa CCM sasa inataka Jeshi la Polisi lichunguzwe baada ya Wananchi kutokuwa na imani nalo
Wanatafuta huruma ya wananchi!!ambayo hawatoipata walau wananchi watakubali KWA shingo upande serikali ya umoja wa kitaifa!!
 
Hii ni kauli ya kiungwana iliyotolewa na Mwenyekiti wa zamani wa ccm aliyekuwa pia Rais wa Tanzania , Jakaya Kikwete .

Ilikuwa ni katika vikao vya chama chake , pale alipokuwa anawaelekeza wanaccm wenzake kujibu tuhuma za wapinzani kwa njia ya majukwaa ya kisiasa badala ya kutumia polisi , tuhuma ya kisiasa ijibiwe kisiasa badala ya kutumia polisi .

Ushahidi wa hivi karibuni uliotokea nchini Gambia unaonyesha kwamba kauli ile ya Profesa Kikwete ilikuwa sahihi kwa 100%.

Mytake - Uungwana ni vitendo .

View attachment 1829666
Jamaa anaijua sn siasa
 
Hii ni kauli ya kiungwana iliyotolewa na Mwenyekiti wa zamani wa ccm aliyekuwa pia Rais wa Tanzania , Jakaya Kikwete .

Ilikuwa ni katika vikao vya chama chake , pale alipokuwa anawaelekeza wanaccm wenzake kujibu tuhuma za wapinzani kwa njia ya majukwaa ya kisiasa badala ya kutumia polisi , tuhuma ya kisiasa ijibiwe kisiasa badala ya kutumia polisi .

Ushahidi wa hivi karibuni uliotokea nchini Gambia unaonyesha kwamba kauli ile ya Profesa Kikwete ilikuwa sahihi kwa 100%.

Mytake - Uungwana ni vitendo .

View attachment 1829666
Erythrocyte KUMBE UMEANZA MUDA MREFU SANA KUHANGAIKA NA VYAMA VISIVYO NA MUELEKEO MPAKA SASA HUJAKATA TAMAA? UTAKUWA NA MTYINDIO WA UBONGO WEWE DADA
 
Wao ndio wamelifanya lionekane la hovyo kabisa. Hata hii kesi ya juzi ya Mbowe ni matokeo ya matumizi mabaya ya polisi yaliyofanywa na serikali ya CCM
Baada ya kustuka , japo kwa kuchelewa CCM sasa inataka Jeshi la Polisi lichunguzwe baada ya Wananchi kutokuwa na imani nalo
 
Hatimaye ccm yakubali ukweli

Hayo ni maigizo ya ccm na dj mbowe ila jua ccm katu haiwezi acha kutumia polisi ama wizi wa kura kupitia tume ya uchaguzi. Kwa katiba hii na tume hii ya uchaguzi ni ngumu kuitoa madarakani ccm,mana sio chama cha siasa bali ni genge la wahuni.
 
Hayo ni maigizo ya ccm na dj mbowe ila jua ccm katu haiwezi acha kutumia polisi ama wizi wa kura kupitia tume ya uchaguzi. Kwa katiba hii na tume hii ya uchaguzi ni ngumu kuitoa madarakani ccm,mana sio chama cha siasa bali ni genge la wahuni.
katiba mpya inakuja
 
Sasa mleta mada mbona kama unavuruga habari...!


Jk aliongea kwenge mkutano wa CCM hapa Tz..mfano wako na matokeo yake vimetokea Gambia...


Habari yako haina cohesion!

Kairudie mkuu
What goes around comes around
 
Anamaanisha kikundi hicho Cha wahuni ni felia au sijaelewa upande wa pili ?
 
Back
Top Bottom