Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

battawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2014
2,672
2,540
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
 
Kwa taarifa yako kamwe usije kutegemea msaada wo wote kutoka ubalozi wa Tanzania po pote pale duniani! Ofisi zetu za ubalozi ni fukara hakuna mfano. Kwa kifupi hazina msaada wo wote zaidi ya mbwembwe tu kuwa tuna ofisi ya ubalozi.

Just imagine hata bill za umeme na maji huwa zinashindwa kulipa!
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.
Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege ' Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Hata siku moja ubalozi wa tanzania popote duniani ulipo, haunaga msaada kwa mtanzania ukipata matatizo ndiyo tabia yao.
 
Kwa taarifa yako kamwe usije kutegemea msaada wo wote kutoka ubalozi wa Tanzania po pote pale duniani! Ofisi zetu za ubalozi ni fukara hakuna mfano. Kwa kifupi hazina msaada wo wote zaidi ya mbwembwe tu kuwa tuna ofisi ya ubalozi.

Just imagine hata bill za umeme na maji huwa zinashindwa kulipa!
Suala si ukoefu wa Fund , bali Nchi yetu ina Policy mbaya kwa raia wake.
Iliwahikutokea miakaya nyuma Pale Thailand , Wageni walikamatwa kutoka nchimbali mbali wakiwa hawana documents za kusafiria.
Serikali ya Thailand ikazishauri Balozi za nchi husika ziwapatie Raia wao Traveling Documents na wao watawaruhusu waishi na kufanya kazi bila kuwarudisha..
Mataifa yote yaliwapa raia wao Passport na kuwaacha wafanye kazi Thailand ,lakini TZ waliwarudisha Nyumbani bila huruma.
Balozi kule alikuwa Mapuri kama sikosei
November 14, 2006Omar Ramadhan Mapuri
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.
Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege ' Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Serikali haiwajibiki kulipia familia zisizoweza kulipia nauli za kurudishia maiti za ndugu zao Tanzania.

Ikifanya hivyo, bajeti za kuendesha balozi zote zitaishia kusafirisha miili ya watu kurudi Tanzania.

Kuna sehemu nyingine nauli hii ni zaidi ya $20,000.

Kwani nyie familia yenu yote mlishindwa kuchangishana kupata kiasi kilichohitajika?
 
Serikali haiwajibiki kulipia familia zisizoweza kulipia nauli za kurudishia maiti za ndugu zao Tanzania.

Ikifanya hivyo, bajeti za kuendesha balozi zote zitaishia kusafirisha miili ya watu kurudi Tanzania.

Kuna sehemu nyingine nauli hii ni zaidi ya $20,000.

Kwani nyie familia yenu yote mlishindwa kuchangishana kupata kiasi kilichohitajika?
Duuh ,sehem gan iyo naur inazd na bei ya kununua na kuisafilisha vanguard
 
Suala si ukoefu wa Fund , bali Nchi yetu ina Policy mbaya kwa raia wake.
Iliwahikutokea miakaya nyuma Pale Thailand , Wageni walikamatwa kutoka nchimbali mbali wakiwa hawana documents za kusafiria.
Serikali ya Thailand ikazishauri Balozi za nchi husika ziwapatie Raia wao Traveling Documents na wao watawaruhusu waishi na kufanya kazi bila kuwarudisha..
Mataifa yote yaliwaparaiwao Passport na kuwaacha wafanye kazi ,lakini TZ waliwarudisha Nyumbani bila huruma.
Balozi kule alikuwa Mapuri kama sikosei
Mapuri ni mzanzibar na alishika vyeo mbalimbali ikiwemo uwaziri, haijawahi hata siku moja ubalozi ukagharamia kusafirisha maiti ya mtanzania aliyefariki nje ya nchi kwa sababu hawana bajeti hiyo.
Mtu yeyote anapokuwa nje ya nchi anapaswa kuripoti kwa balozi husika, tatizo jingine ubalozi umefanywa kijiwe cha wastaafu wengi hawajui wajibu wao ni nini
 
Suala si ukoefu wa Fund , bali Nchi yetu ina Policy mbaya kwa raia wake.
Iliwahikutokea miakaya nyuma Pale Thailand , Wageni walikamatwa kutoka nchimbali mbali wakiwa hawana documents za kusafiria.
Serikali ya Thailand ikazishauri Balozi za nchi husika ziwapatie Raia wao Traveling Documents na wao watawaruhusu waishi na kufanya kazi bila kuwarudisha..
Mataifa yote yaliwapa raia wao Passport na kuwaacha wafanye kazi Thailand ,lakini TZ waliwarudisha Nyumbani bila huruma.
Balozi kule alikuwa Mapuri kama sikosei
November 14, 2006Omar Ramadhan Mapuri

Hiyo ya travel documents ni issue nyingine balozi inawajibika.

Lakini kwenye kusafirisha miili balozi haiwajibiki. Familia iwajibike.

Kuna siku nilienda ubalozi wa Marekani, wakati haujapigwa bomu bado.Kunq vitu vilitumwa kimakosa ubalozi wa Nairobi nilikuwa naangalia kama wanaweza kuvi forward Dar.

Mbele pale kwenye mlango waliweka bango kubwa kwa raia wa Marekani wanaomaliza hela za matumizi na kwenda ubalozini kuomba hela.

Bango hilo lilisema wazi kwamba ubalozini si sehemu ya kwenda kuomba hela watu walioishiwa na hela nje ya nchi.

Inaonekana walikuwa wanapata Wamarekani wa aina hiyo wengi sana Tanzania mpaka ikawabidi waweke bango hilo mbele kabisa, kama Mmarekani ana shida hiyo asijisumbue hata kuendelea kuingia ndani.

Si kwamba ubalozi ulishindwa kuwa na akaunti ya kusaidia watu wanaomaliza hela wakiwa nje.

Ni suala la personal responsibility.

Watu wanatakiwa kubeba mizigo yao wenyewe, sio kuitwika serikali mizigo hiyo.

Kuna watu wanasafiri kwenda nje wananunua mpaka yravelers insurancd ku cover contingency planning wakiumwa au wakifa nchi za nje.

Tuqche hizi tqbia za kutaka swrikali itatue kila tatizo.

Tanzania ni nchinyenye watu wengi sana, wote hawa wakiitegemea swrikali hatutafanya kitu chochote cha kueleweka tutaishia serikali kulisha watu tu mpaka inafilisika.

Tusipende kulalamikia serikali hata kwenye kumzika ndugu.
 
Shida labda ya kuhusu vibali vyake sasa mtu ameshakufa kufa tena kwa kuungua chanzo cha kifo kinajulikana unasema ni shida? Kinachobaki ni familia yenu kusafirisha maiti tuu kama maiti imezuiliwa ndo ungeenda ubalozi ...
Huyu Mtanzania alikuwa safarini peke yake, Ethiopia haikuwa destination yake , alishushwa kwa dharura ya kuumwa ghafla na umauti ukamfika huko.Sisi hatuna familia wala jamaa kule.
Kama balozi yupo ,unadhani nanai awajibike kutowa msaada?
kama hawalipi gharama zote , hata kuchangia sehemu ya Gharama ubalozi hauwezi ?
 
Back
Top Bottom