Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,922
- 6,009
Labda utuelezee, huo umeme unaingiaje automatically kwenye mita?LISHAANZA MITA ZA SASA ZIKO HVYO MKUUU WASILIANA NAO..
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda utuelezee, huo umeme unaingiaje automatically kwenye mita?LISHAANZA MITA ZA SASA ZIKO HVYO MKUUU WASILIANA NAO..
Mbona inawezekana kwenye ving'amuzi Chief? It is possible na hiyo siyo sayansi inayohitaji extremely high brain.Mchakato wa kuingiza umeme automatically kama unavyohitaji si rahisi kama unavyofikiria maana zipo variables kibao zinazohusika hadi pale units zinapoingia ktk mita yako. Hivi unaponunua airtime token kwa ajili ya simu yako, zile credits ulizonunua je uingia moja kwa mmoja ktk simu yako bila kuzi punch in physically?
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief, Hili jambo linawezekana kabisa. Na hakuhitajiki mita nyengine. Hata mita hizi hizi zikibaki bado linawezakana. Kama kuna mpiga domo mzuri humu na anajua anaweza kushawish hili litokee anitafute. Labda tu watunyime kuingia kwenye hizo system zao. Lakina huhitaji mita nyengine. Utakuwa tu kuangalizia uniti ziko ngapi na siyo kuingiza.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?
Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1038433
Itahitajika circuit ya ziada ku communicate na servers za Tanesco ku update salio la mita.Chief, Hili jambo linawezekana kabisa. Na hakuhitajiki mita nyengine. Hata mita hizi hizi zikibaki bado linawezakana. Kama kuna mpiga domo mzuri humu na anajua anaweza kushawish hili litokee anitafute. Labda tu watunyime kuingia kwenye hizo system zao. Lakina huhitaji mita nyengine. Utakuwa tu kuangalizia uniti ziko ngapi na siyo kuingiza.
Nimeshauri hii kitu mara kadhaa humu lakini hawa tanesco hawabadiliki.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?
Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1038433
Good Idea Brother tuna hitaji Watu kama wewe wenywe Akili Kubwaz kuweza kuijenga Tanzania yetu upya.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?
Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1038433
You do not need any more hardware, I think.Itahitajika circuit ya ziada ku communicate na servers za Tanesco ku update salio la mita.
Kwanini sasa hivi inakuaje? Si mnashare malipo ndio mnanunua kwa pamoja au? Ishu ni kuondokana na ile hatua inayokera mno ya kuingiza token ndeeeeefunyumba za kupanga zile ambazo mnashea meter moja vipi?? itakuaje??
Mbona hata hizi zilizopo zinaweza kufanya hivi, ni marekebisho ya software tuFeasible and implementable. Lakini tunasubiri mpaka huko duniani watengeneze watuleteee
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?
Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1038433
Hapa tunaongelea umeme kupitia mobile money systems, mfano mimi ninaponunua bundle kupitia tigo pesa basi zile zinaingia automatically bila kupunch token tena, sasa Luku ukishanunua inabidi uingize tena token, ni usumbufuMchakato wa kuingiza umeme automatically kama unavyohitaji si rahisi kama unavyofikiria maana zipo variables kibao zinazohusika hadi pale units zinapoingia ktk mita yako. Hivi unaponunua airtime token kwa ajili ya simu yako, zile credits ulizonunua je uingia moja kwa mmoja ktk simu yako bila kuzi punch in physically?
Sent using Jamii Forums mobile app