Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,663
- 4,875
Saudi Arabia imeingia kwenye ushirikiano wa kihistoria wa miaka mitano na soka la Afrika ukihusisha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na Shirikisho la Soka la Saudi Arabia (SAFF).
Nukuu CAF | Mkataba uliosainiwa utazingatia mipango na maendeleo ya kiufundi na soka katika klabu na taifa, soka la wanawake, kusaka vipaji, mashindano, michezo ya kirafiki na fursa za kibiashara,”
Makubaliano mengine ya CAF ni juu ya kampeni ya Visit Saudi, mkataba unaosimamia kutangaza utalii nchini Saudi Arabia ambao ni wafadhili wakuu wa African Football League (AFL) itakayoanza Oktoba 20 hadi Novemba 11, 2023 ikihusisha vilabu nane bora barani Afrika.
Nukuu CAF | Mkataba uliosainiwa utazingatia mipango na maendeleo ya kiufundi na soka katika klabu na taifa, soka la wanawake, kusaka vipaji, mashindano, michezo ya kirafiki na fursa za kibiashara,”
Makubaliano mengine ya CAF ni juu ya kampeni ya Visit Saudi, mkataba unaosimamia kutangaza utalii nchini Saudi Arabia ambao ni wafadhili wakuu wa African Football League (AFL) itakayoanza Oktoba 20 hadi Novemba 11, 2023 ikihusisha vilabu nane bora barani Afrika.